A love Member May 17, 2021 93 119 Oct 3, 2021 #1 Hello wakuu ,naomba kuulIza eti mshahara kwa watu wanaofanya kazi kwa secta ya kilimo yaani , afisa kilimo ngazi ya kata ,hulipwa shingapi serikalini?
Hello wakuu ,naomba kuulIza eti mshahara kwa watu wanaofanya kazi kwa secta ya kilimo yaani , afisa kilimo ngazi ya kata ,hulipwa shingapi serikalini?
A love Member May 17, 2021 93 119 Oct 3, 2021 Thread starter #2 A love said: Hello wakuu ,naomba kuulIza eti mshahara kwa watu wanaofanya kazi kwa secta ya kilimo yaani , afisa kilimo ngazi ya kata ,hulipwa shingapi serikalini? Click to expand... Msaada jamani
A love said: Hello wakuu ,naomba kuulIza eti mshahara kwa watu wanaofanya kazi kwa secta ya kilimo yaani , afisa kilimo ngazi ya kata ,hulipwa shingapi serikalini? Click to expand... Msaada jamani
M Muamu3 JF-Expert Member Aug 20, 2020 2,708 4,483 Oct 3, 2021 #3 Ngoja waje wenye ajira ila ukisikia zile sijui TGS itakuaa laki 7 mpaka 9
Mpatuka JF-Expert Member Nov 15, 2015 1,712 2,495 Oct 14, 2021 #4 Kuna laki tatu na point zake, laki tano na point zake na saba na point zake, cheti stashahada, shahada respectively.
Kuna laki tatu na point zake, laki tano na point zake na saba na point zake, cheti stashahada, shahada respectively.