Majibu ya haraka

A love

Member
May 17, 2021
93
119
Hello wakuu ,naomba kuulIza eti mshahara kwa watu wanaofanya kazi kwa secta ya kilimo yaani , afisa kilimo ngazi ya kata ,hulipwa shingapi serikalini?
 
Ngoja waje wenye ajira ila ukisikia zile sijui TGS itakuaa laki 7 mpaka 9
 
Kuna laki tatu na point zake, laki tano na point zake na saba na point zake, cheti stashahada, shahada respectively.
 
Back
Top Bottom