Majibu: Sperm analysis

Majibu: Sperm analysis

Checkup ya mwanamke analysis yake iko wapi chief??pengine labda shida iko kwake coz kwa pic hizo hamna tatizo kwa upande wako.suala la maniii kumiminika nje ya uke ni kawaida kuna mimillion ya manii for only one bao na haziwezi toka zote nje wala baki zote ndani.

Manii yako inaafya kwa kiwango kikubwa sana na hamna abnormality yeyote hapo.
Ushawahi jihusisha na shuguli za migodini,x-ray treatment,au kunywa pombe Kupita kiasi??

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana majibu mazuri ,mafupi yanayoeleweka hata mimi hapa nimepata majibu ya wasiwasi wangu juu ya mbegu kuchirizi nje,nikidhani niko peke yangu ama ni tatizo langu ama ni tatizo
 
Wakuu. Vipi kuhusu mbegu kutoka nje kwenye uke ?
 
Naona uko sawa maybe your partner has a problem.
 
Wakuu. Vipi kuhusu mbegu kutoka nje kwenye uke ?
Huyo mwanamke alikua anacheza na kilamtuu kwahyo kutazake zimelegea hivyo haziwezi jifunga kuzuia sparm
Nasema hivi kwa utafiti nilifanya kwa wanawake sita (mmoja bikra nilikua nikipiga bao linapotelea ndani mwingine alitembea namwanaume mmoja tuu akaja akakutana na Mimi baada yakuachana nazo zikawa zinaishia ndani mzigo unatoka umefutwa vizuri,waliobaki walikua nihawa wanachuo wakuokoteza na pisi za mtaani Yani ukipiga bao nilinatiririkia njee nakuta zao za uzazi zilikua hazibani kwa ndani
 
Back
Top Bottom