Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,010
- 12,496
halafu nimeona Makonda amekuja kuchangia kwenye uzi wa Lizaboni uliofutwa akimtaka Hapi aombe radhi.wewe Happy kwani mmegombana nini na Makonda?
halafu nimeona Makonda amekuja kuchangia kwenye uzi wa Lizaboni uliofutwa akimtaka Hapi aombe radhi.wewe Happy kwani mmegombana nini na Makonda?
Lakini ni vizuri hawa jamaa wanyukane kisawasawa ili wakweli wapatikane.
CCM ni kiboko, na si chama cha mtu mmoja au mali ya kundi la watu kama CHADEMA.
Wanyukane tu kiekeweke.
Ndio nani?Embu naomba umlete mzee 'ms' hapa nae atoe maoni yake please ...
Nimemsaliti nani au msimamo gani.Msaliti
Mkuu Egnecious, fanya hima kumaliza hili.
Ikiwezekana jipe kalikizo ka weekend hii.
Ukiendelea kumuongelea Lizaboni inakuwa, "unfair advantage" kwako kwa vike yeye sas hayupo.
Uharibifu umekwishafanyika kwa pande zote wako na wake pia..
Mods wa JF ilipaswa wafute huu uzi na mwingine wowote unaohusu hii issue yenu.
Nafikiri ntaeleweka.
Ni kweli wamependelea
Kwa mimi naona haswa upande mmoja wa huyu sijui kwanini. kwani kufuta yaliyoandikwa leo na Liziboni mmmmmmmm
Ingebidi wafute majina na zile picha na kuacha yote aliyoandika
Wewe ndiye umejichanganya maana DC IQ kubwa hawezi kujibishana na akili nyepesi Kama zako.
Soma vizuri utaelewa nani ameandika,usikurupuke tulia msumari ukuingie taratibu.
Haahaaaa, kweli elimu ni kuelimika si unashada ngapi, huyu msomi wa chuo kikuu anajibu mtu kwa kutumia ID fake hapohapo anaweka jina lake halisi?! kweli mzuka mbaya sana aibu yake.
Kama hujui kusoma hiyo atthment hata kuangalia hujui?!Umefikiria uwezekano wa Hapi kutokuwa na nia ya kujificha? Hayo mambo ya kujificha yanaletwa na mtu mwingine tu wala sio yeye, kwa nini unajiingiza mzima mzima kuamini dhana ambayo imeletwa na the other party?
Kama hujui kusoma hiyo atthment hata kuangalia hujui?!
Fikiri vizuri, kama muelewa. Huwezi kutumia jina bandia na jina halisi kwenye waraka mmoja hata siku moja, hapo alisukumwa na mihemko tu. Hutaki acha.Narudia kwa mara nyingine, umefikiria uwezekano wa mwenye hiyo ID kutotaka kuficha ID yake halisi?
Fikiri vizuri, kama muelewa. Huwezi kutumia jina bandia na jina halisi kwenye waraka mmoja hata siku moja, hapo alisukumwa na mihemko tu. Hutaki acha.