Maji ya nazi

Maji ya nazi

Kiroba kitamfanya aongee kidhungu!sikiliza wewe ,ukitaka mwanao aongee haraka njia bora na nyepesi kwanza ilitakiwa uongee nae lugha fasaha since day one (hakuelewi lakini anakusikia) baada ya hapo uwe unawasiliana nae kwa ufasaha epuka kumuiga anapoongea vibaya usimwambie maneno kama 'oto iyo= moto huo' 'taka mma' taka jojoa na kadhalika.
wazazi wengi hufanya makosa hapo-kabinti kangu by the time she was few months shy to 2yrs she could almost speak any word be it swahili or english ,she can pronounce them!
In short ongea na mwanao kama unaongea na mtu mzima mwenzako!

hongera kwa katoto chako. Asante kwa ushauri
 
jee, ni kweli maji ya nazi akinyweshwa mtoto ambaye anajifunza kuongea huweza kuongea kwa haraka na ufasaha. Sio maji ya dafu ni nazi.

Kuna ukweli ktk hili wana jamvi nataka nimpe mwanangu anamwaka mmoja sasa naoma anachelewa kuongea.

uspoteze muda mwanao ni bubu mfundishe lugha ya ishara na nukta nundu mapema akikomaa itakuwa ngumu kumfundisha
 
huna sababu ya kumuharakisha ukifika wakati wake ataongea tu. usije muharakisha kwa kumpa visivyoeleweka mwisho ukamuharibu kabisa.
 
Ndio unifahamishe hizo za Masaki
MashaAllah baba mtoto; Usiwe na haraka kwa mwanao, kila kitu kwa wakati na rika lake !! Time ya kuongea itafika, time ya kujitetea,kujiAmini itafika kila anapokua. "kwa kuwa hakuna PROOF ya maji Nazi" Nahofia isije develope symptoms zisizo tabirika !! kwani ni infant bado.
Kwa mukhtasari nyumbani pawepo na watoto wakuzungumza (kelele/mchanganyiko) msijitenge peke yenu, mingol with relatives/pple.
Blessings to U & family.
 
MashaAllah baba mtoto; Usiwe na haraka kwa mwanao, kila kitu kwa wakati na rika lake !! Time ya kuongea itafika, time ya kujitetea,kujiAmini itafika kila anapokua. "kwa kuwa hakuna PROOF ya maji Nazi" Nahofia isije develope symptoms zisizo tabirika !! kwani ni infant bado.
Kwa mukhtasari nyumbani pawepo na watoto wakuzungumza (kelele/mchanganyiko) msijitenge peke yenu, mingol with relatives/pple.
Blessings to U & family.

Inshaallah.
 
Ataongea 2,pole,ila jitaid kumtamkia maneno tofaut tofaut naye akuigie nna akika mwezi mmoja haupiti ataongea.
 
Usiwewe na wasiwasi muda bado ataongea tu, pia inategemea na mtu anayeshinda nae, mzoeze kuita baba wakati upo then mama
 
Inaweza kuwa karithi kwako au kwa mamaake.
Muda ukifika ataongea tu, maadhal sio bubu wala kiziwi. Na akianza kuongea vizuri mpe kahawa, mtt anakua muongeaji pia. Bt ofcoz itikadi tu ila inawork
 
Myths!! Story za kwenye kahawa.

=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
 
Back
Top Bottom