ni kweli. changanya na kiroba 1.
ni kweli. changanya na kiroba 1.
ni kweli. changanya na kiroba 1.
Kiroba cha nini?
Kiroba cha nini?[/QUOTE said:Sister huyu bro mi niko nae mtaan hana hata mtoto na kwa mizinga ni noma,anakuzuga tu! kiloba mwanao atalewa mwanzo mwisho
ni kweli. changanya na kiroba 1.
Nadhani cha kilo hamsini za bange :bange:
Hizi ni itikqadi na Uswahili tuu!!Jee, ni kweli maji ya nazi akinyweshwa mtoto ambaye anajifunza kuongea huweza kuongea kwa haraka na ufasaha. Sio maji ya Dafu ni Nazi.
Kuna ukweli ktk hili wana jamvi nataka nimpe mwanangu anamwaka mmoja sasa naoma anachelewa kuongea.
Ha ha ha ha.....!ni kweli. changanya na kiroba 1.
itakuwa ni kiroba jogoo.
Sister huyu bro mi niko nae mtaan hana hata mtoto na kwa mizinga ni noma,anakuzuga tu! kiloba mwanao atalewa mwanzo mwisho
huna haja mpaka sasa kufanya ya viroba wala nini unaweza kumpa mtoto hayo maji kama hayajachanganywa na kitu chochote
jaribu kumuangalia kama anasikia sawa sawa, jaribu kumtamkia maneno ya mama kama ataweza kukufuatilia usemavyo, endelea na maneno kama lala au loli au neno lenye kuanzia na herufi ya kumfanya ulimi wake unyanyuke na kugusa midomo ya juu
Jaribu kutafuta kitu anachokipenda na ukipe jina na umfanye alitamke jina la kitu hicho kabla ya kumpa
Zaidi muone Mzizi Mkavu kwa msaada zaidi