Maji ya Kandoro Kama Kawa Dar

Maji ya Kandoro Kama Kawa Dar

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
IMG_20160531_131210%2Bcopy.jpg
 
Ulitaka nini sasa yasiweopo au
Hii kitu ilishapigwa marufuku na aliyekua mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Abas Kandoro enzi hizi ndiyo wakazi wa dar na viunga vyake wakayabatiza jina lake "MAJI YA KANDORO"!!
 
haya maji yanatusaidia sana wanyonge maana 100 tu uko byeee!! maana kwa serikali hii ya magu uhai,maisha n.k tuwaachie wenye mahela
 
Mbona haya maji bado yapo sana mitaani dar, ila ni kwa dar nahisi tu, mikoani sijawahi kuona haya maji
 
Back
Top Bottom