Kama na Bunju pia itakuwa lile tope la uji wa Kunduchi.Hata bunju
Siyo huko tu.Maji ya bomba kwa sisi wakazi wa Tabata,Kimara na Ubungo tunapata maji yaliyo na rangi ya udongo. Hili tatizo nimeliona kwa zaidi ya miezi sita sasa.
Wakati mwingine ukiyahifadhi uchafu unajitenga chini.
Hii ni hatari.
Sasa hivi hakuna mvua lakini bado maji yanatoka ya rangi.Mimi naona ni mwaka sasa
Hasa kipindi cha mvua ndo uchafu balaa
Unaoga ghafla unashangaa unaukurutuu muwasho balaa sasa Kule idara nyeti ndo patakuwaje unapojitawaza.
Mwanza hakuna mjombaSiyo huko tu.
Ni tatizo la Tanzania nzima
Alafu bill likija kubwaa ukalipie maji yanayofanana na jangwani Kweli?Sasa hivi hakuna mvua lakini bado maji yanatoka ya rangi.
Hii ni hatari kwa watoto unakuta ana kiu anaona maji yanatoka anakuñywa hivyo hivyo.
Mi nadhani wakiwa wanafanya marekebisho sehemu lile bomba linaliendelea huwa hawalizibi vizuri hivyo yale machafu ya sehemu wanayofanyia kazi huenda yanaingia bombani.Maji ya bomba kwa sisi wakazi wa Tabata,Kimara na Ubungo tunapata maji yaliyo na rangi ya udongo. Hili tatizo nimeliona kwa zaidi ya miezi sita sasa.
Wakati mwingine ukiyahifadhi uchafu unajitenga chini.
Hii ni hatari.
Yaani ukipika chai wewe unaweka sukari tuu haina haja ya majini.Sasa hivi hakuna mvua lakini bado maji yanatoka ya rangi.
Hii ni hatari kwa watoto unakuta ana kiu anaona maji yanatoka anakuñywa hivyo hivyo.
Nyie si mnakunywa ya ziwani?hamuwezi elewaMwanza hakuna mjomba