Edward A Chapa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 973
- 1,394
Habari wanna body! Leo ni siku ya kumi maji hayatoki huku mtaani kwetu mabibo maji yamekuwa ya shida sana watu wanakunywa maji ya kisima ya chumvi! Je maji ya bomba hapo ulipo mtaani kwenu yapo nielekeze nije kuchota, Maana ni shida huku tulipo!