Maji Umeme MB na Tozo CCM Kwaherini

Maji Umeme MB na Tozo CCM Kwaherini

mzalendoalltz

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
828
Reaction score
709
Hawa mawaziri wanaoongoza hizi wizara wana ajenda ya siri ya Kumng’oa Samia. Mama kaa chonjo watakugharimu Urais wako wewe endelea kuwakumbatia, wananchi tunakuangalia kwa jicho la tatu
 
Umeme na maji TANZANIA imeshakuwa kero ya kudumu sasa.
 
Siyo kumng'oa Bali ndio Pato la taifa hatuna eneo lingine
 
Hawa mawaziri wanaoongoza hizi wizara wana ajenda ya siri ya Kumng’oa Samia. Mama kaa chonjo watakugharimu Urais wako wewe endelea kuwakumbatia, wananchi tunakuangalia kwa jicho la tatu
WAKATI WA KUZINDUA MRADI WA MAJI KIGAMBONI TULIAMBIWA MAJI KWA DAR NI ASILIMIA 95 %
 
Watakuambia bora tukose mb, umeme na maji lakini aendelee kutawala mpaka 2030 wao wanachojali ni matumbo yao tu sio huduma za msingi kwa walio wengi.
 
Back
Top Bottom