Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,261
Mwanadada ambae una ndoto za kuolewa na mtu mwenye sifa zote za mwanaume....Nakushauri waamini hawa askari!
Ni shupavu, wanajitambua, hawasusi ovyo, pia wanaaminika na serikali kwa 100% sasa wewe kwanini usiwaamini?
Ila ukitaka mwanaume mtakae shindana kupaka poda, make up, kuvaa hereni na urembo wote...chagua huko kwengine!
Na 100% majeshini hakuna wanaume wenye sifa za ushoga.
Kijana yoyote wa kiume aliyepita mafunzo ya kijeshi ana uweledi mkubwa sana wa maisha, yaani hata kuangusha wewe mkewake hata watoto wako!
Nimetoa ushauri tu.....
NB: mtoa somo sio lazima nae alifaulu
Ni shupavu, wanajitambua, hawasusi ovyo, pia wanaaminika na serikali kwa 100% sasa wewe kwanini usiwaamini?
Ila ukitaka mwanaume mtakae shindana kupaka poda, make up, kuvaa hereni na urembo wote...chagua huko kwengine!
Na 100% majeshini hakuna wanaume wenye sifa za ushoga.
Kijana yoyote wa kiume aliyepita mafunzo ya kijeshi ana uweledi mkubwa sana wa maisha, yaani hata kuangusha wewe mkewake hata watoto wako!
Nimetoa ushauri tu.....
NB: mtoa somo sio lazima nae alifaulu