Nyagahinga
Member
- Nov 11, 2010
- 7
- 1
Leo asubuhi around saa 3 pale traffic lights Magomeni nimeona askari magareza wakimpa kipigo cha mbwa mwizi dreva wa fuso kisa eti amekaa kupisha gari la wafungwa.
Sisi wapita njia tumesikitishwa sana na kitendo hiki kwa kuwa hakukuwa na ulazima wa kumpiga kiasi hiki kwa sababu hakuwa mbishi na tumeona jinsi busara za askari wengi wa majeshi yetu zilivyo finyu.
Ingekuwa vyema wafundishwe kuheshimu utu wa mwanadamu kwa sababu itafika wakati wananchi watachoka kuonewa na hizo bunduki zao wataziona kama fimbo tu na mifano tunaiona katika nchi za wenzetu.
Sisi wapita njia tumesikitishwa sana na kitendo hiki kwa kuwa hakukuwa na ulazima wa kumpiga kiasi hiki kwa sababu hakuwa mbishi na tumeona jinsi busara za askari wengi wa majeshi yetu zilivyo finyu.
Ingekuwa vyema wafundishwe kuheshimu utu wa mwanadamu kwa sababu itafika wakati wananchi watachoka kuonewa na hizo bunduki zao wataziona kama fimbo tu na mifano tunaiona katika nchi za wenzetu.