MAJESHI YA ANGA KUNANINI?

MAJESHI YA ANGA KUNANINI?

nyiokunda

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2015
Posts
2,137
Reaction score
1,306
Kuna jamaa zangu wajeshi wanalalamika sana kukatwa posho za vinywaji ili kuendesha shughuli za vikosi Kama stationery mwezi wa tatu na wa sita,hii imekaaje.
 
mambo mengine ni makubwa huwezi pata jibu unless uncle awe hum
 
CDF anajua? Sio anatuabisha bila ya kupata jibu kutoka kiota ( MMA)
 
Sasa badala ya kumuuliza rafiki yako ambaye ni mwanajeshi... Unatuuliza sisi kajamba nani... Unategemea nin?
 
Kuna jamaa zangu wajeshi wanalalamika sana kukatwa posho za vinywaji ili kuendesha shughuli za vikosi Kama stationery mwezi wa tatu na wa sita,hii imekaaje.
Sisi hatujui mkuu malizaneni wenyewe huko vikosini kwenu
 
gharama za kuliweka jeshi letu huko somalia zimekua juu sana,ndo maana gavana Sonko amedai majeshi yarudi nyumbani
 
Posho za vinywaji ni incentive tu..subiri kwanza wakikosa salari ndiyo uje hapa!sauwa?
 
gharama za kuliweka jeshi letu huko somalia zimekua juu sana,ndo maana gavana Sonko amedai majeshi yarudi nyumbani
Tanzania hatuna Jeshi somalia bali Polisi ndiyo wapo kule. Labda kama sijakuelewa
 
mzee baba naona unatamani doso sisi tumefundishea ni ndio hakuna hapana ili mradi kauli iwe halali
 
Back
Top Bottom