Majeruhi wa Shambulizi la Risasi aaga Dunia

Majeruhi wa Shambulizi la Risasi aaga Dunia

Hivi vibint vya sikuizi vimezidi upuzi ni kuvitandika tu vyenyewe na koo zao ili iwe fundisho kwa wengine wanaochipukia kuacha usaliti
He una akili timamu kweli? Watu wameuawa wewe unafurahia!!!Hakuna mtu aliye na haki ya kutoa uhai wa mtu mwingine including wake despite any reason!!!
 
Pumzika kwa Amani Francis. ulitoka kwa udongo na udongoni umerejea.
 
Kuna kademu Arusha kanichezea shere..! Ngoja nikanunulie bastola ili kuleta nidhamu..! Haya mambo ya kuwafanya wanaume mabuzi lazima yafike ukingoni..! If you do not like me why chopping my monies?
 
huyu jamaa kanikera sana ..huwesi kutujia risasi 14 halafu unakosa kosa watu wanaenda mpaka MOI...weka kwenye kilengeo hawa risasi moja tu bandama nje..kudadadeki
 
Kuna kademu Arusha kanichezea shere..! Ngoja nikanunulie bastola ili kuleta nidhamu..! Haya mambo ya kuwafanya wanaume mabuzi lazima yafike ukingoni..! If you do not like me why chopping my monies?

angalia na wewe usije ukakosa shabaha ukaua wengine yeye akapona
 
khaaa sio vbaya sina huyu kidogo ana shabaha sio kama mushi...taifa linahitaji vijana wengi majasiri na wenye shabaha kama huyu

#Kunjani kuti

mtoto wa nyoka ni nyoka! Ana shabaha babayake alikuwa ni kanali wa jeshi ila ni mstaafu! He is broud of his son kwamba he died like a real man.
 
Walio kufa ni wawili Alfa ambaye ni dada wa Christina na Francis ni Shemeji wa Chrstina na majeruhi ni Huyo mlengwa na mama yake mzazi.
 
tuwaombee waliowabaki Mungu awaponye waliotangulia wapumzike kwa amani amen..
 
[h=1]francis shumira[/h][h=2]@capt72[/h]If its hot it must have been me, if its not I wasn't with it.

GENGE LAND (KENYA) ·



Follow Following Unfollow Blocked Unblock Pending Cancel




Close [h=3]Trends[/h]
[h=2]Trends tailored just for you.[/h]Trends offer a unique way to get closer to what you care about. They are tailored for you based on your location and who you follow.
ChangeKeep tailored Trends





Get Worldwide TrendsDone




[h=2]Tweets[/h]


@capt72 hasn't tweeted yet.
Back to top ↑









 
Wadada tuwe makini na abusive partners......mpaka kufikia hapa Tina alivumilia mengi...kupigwa,kutishiwa maisha na kufungiwa ndani.....na Police walikuwa na Taarifa.
 
Majeruhi mmojawapo ktk shambulizi la risasi ndugu Francis Shumirwa.ameaga dunia ktk hospital ya Muhimbili kitengo cha MOI alikokuwa anapatiwa matibabu.

Kufariki kwa Francis kunafanya waliofariki ktk tukio hilo kufikia watatu,wakati Christina Newa anayedhaniwa kuwa chanzo cha tukio na Mama yake aliyetambulika kwa jina la Hellen wakiwa bado wanapatiwa matibabu.

Source😀ar24

KUWENI MAKINI VIJANA.matukio ya mauaji ya mapenz yamekuwa mengi sasa,Mushi& Munisi,wameua na kujiua,yote mapenz hayo,taarifa ambazo sina ushahidi nazo zinadai kuwa,wakati mushi anafanya kazi sudan alikuwa akimtumia pesa nyingi ufoo kwa ajili ya ujenzi,inasemekana baada ya mushi kurudi aliomba kuiona nyumba,ufoo akasema alijenga moshi,ikabidi waende moshi,kufika huko mama mzazi wa ufoo (marehemu sasa) akamwambia mushi kuwa hana chake hapo,akimaanisha nyumba c yake,jamaa ndo akapandwa hasira,na kuamua liwalo na liwe,ndo maana akaamua bora wafe wote kuliko kudhulumiwa kishamba hivyo.
 
Eeeeeeh sasa naona vifo vya mabilionnaire vimepungua vimegeukia kwa malaghai wa mapenzi na wauza sembe kweli dunia inazunguka
 
Back
Top Bottom