Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,024
- 2,271
Wanajamvi, nipo mwanza natokea Tanga kwa matembezi....etc katika pitapita.....nikaona magorofa 5 yenye heshma..mwenyeji wangu kadai
Wakazi wa mwanza wamestushwa na kasi ya uotaji magorofa 5 ya shule moja ya binafsi, maeneo ya buhongwa mkoani mwanza, zinadaiwa kuwa na za aliyekuwa mkuu wa wizara ya ardhi, kama ni kweli basi escro imeleta heshima kubwa mwanza.
Wakazi wa mwanza wamestushwa na kasi ya uotaji magorofa 5 ya shule moja ya binafsi, maeneo ya buhongwa mkoani mwanza, zinadaiwa kuwa na za aliyekuwa mkuu wa wizara ya ardhi, kama ni kweli basi escro imeleta heshima kubwa mwanza.