Majengo ya escro haya hapa

Majengo ya escro haya hapa

Entim

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
4,024
Reaction score
2,271
Wanajamvi, nipo mwanza natokea Tanga kwa matembezi....etc katika pitapita.....nikaona magorofa 5 yenye heshma..mwenyeji wangu kadai
Wakazi wa mwanza wamestushwa na kasi ya uotaji magorofa 5 ya shule moja ya binafsi, maeneo ya buhongwa mkoani mwanza, zinadaiwa kuwa na za aliyekuwa mkuu wa wizara ya ardhi, kama ni kweli basi escro imeleta heshima kubwa mwanza.
 

Attachments

  • 1422291338391.jpg
    1422291338391.jpg
    90.7 KB · Views: 1,611
Bora hata amewekeza nyumbani kuliko kama angeenda kuyaficha hayo mabilioni kwenye akaunti za Uswis, ila kitu kingine hayo maghorofa matano thamani yake si ni zaidi ya 1.6 billion aliyochukua!!, inawezekana isiwe pesa ya ESCROW...
 
ile hotel ya mkapa kule bondeni inaitweje?
 
kumbe ni majengo ya shule yale!nilikuwa nadhan ni apartments kwa ajili ya makazi.
 
yale maghorofa ni ya Tibaijuka ila cjui kama pesa ya escrow ndo imetumika sababu gharama yake ni zaid ya hiyo bilion 1.6 hata wafanyakaz wa pale ni wahaya wote.
 
Kazi kwelikweli, hivi unafikiri kutumia pesa chafu ni rahisi kiasi hicho!!! Mimi nikikopa $10M na kusimamisha ghorofa kumi na tano fastafasta si ndiyo nyie Wasukuma mtasema "ndago"?
 
Wezi wanaoboresha uwekezaji wa ndani ni bora zaidi kuliko wanaoenda kuficha nje

Kwa hiyo na li-Chenge limefanya vizuri maana limewekeza kwenye kiwanda cha mikate hapa Shinyanga?
 
Chenge amejenga apartments nyingi tu anapangisha huko ROCK city!!
 
Back
Top Bottom