kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
KAMPUNI ya Majembe Auction Mart imepewa jukumu la kusimamia kuhakiki kumbi zilizopo jijini Dar es Salaam, ambazo hazijasajiliwa zitafungiwa.
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) lilitoa tamko hilo kupitia Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Bw. Ghonche Materego jijijini Dar es Salaam.
Materego alisema kuwa, imeipa mamlaka Kampuni ya Majembe kuhakiki zoezi zima la kuhakiki kumbi za strehe ambazo hazijasajiliwa na ambazo hazipo katika viwango stahili .
Alisema kuwa tayari wameshaingia mkataba wa mwaka mmoja na kampuni hiyo na itaanza kazi rasmi ili wapatiwe ripoti kwa kuwa zoezi hilo lilikuwa liko jikoni kwa muda mrefu.
Alisema kampuni hiyo ina uzoefu mkubwa na itbaini wale wote wenye kumbi za burudani ambao wanaendesha shughuli hizo kiujanja ujanja bila kusajiliwa na kubaini kumbi ambazo viwango stahili
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) lilitoa tamko hilo kupitia Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Bw. Ghonche Materego jijijini Dar es Salaam.
Materego alisema kuwa, imeipa mamlaka Kampuni ya Majembe kuhakiki zoezi zima la kuhakiki kumbi za strehe ambazo hazijasajiliwa na ambazo hazipo katika viwango stahili .
Alisema kuwa tayari wameshaingia mkataba wa mwaka mmoja na kampuni hiyo na itaanza kazi rasmi ili wapatiwe ripoti kwa kuwa zoezi hilo lilikuwa liko jikoni kwa muda mrefu.
Alisema kampuni hiyo ina uzoefu mkubwa na itbaini wale wote wenye kumbi za burudani ambao wanaendesha shughuli hizo kiujanja ujanja bila kusajiliwa na kubaini kumbi ambazo viwango stahili