Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,615
- 17,607
Hapo kwenye "Regency " ulikuwa una maanisha nini ?Naona walituchagulia Mwinyi ili kuendana na Sera za kibepari na WB & IMF.....
But all in all Nyerere Regency will stay alive for more coming generations.......
Alikuwa mzalendo Wa kweli kwa Tanzania.........
R.I.P.........