Majaribu yanapotokea katika maisha

Majaribu yanapotokea katika maisha

Atakufa kwa guilt huyo wife,upumzike kwa amani joseph
 
roho ya chuma au roho mbaya..??

chuma ni gumu ujue yani kweli mwanamke anakuwa mgumu hata kwa mmewe? Hivi siku anamtongoza hadi akamkubali napengine akaenda kanisani akatamka mwenyewe kwa shida na raha! Wanalala na kujifunika shuka moja mnabadilishana damu n.k inakuwaje leo anamtenda hivyo? Dah! That y nataka kupenda mtu kama alivyo na c alivyonavyo huuii!!
 
So sad,kudhamini kitu kuliko utu,kinachomliza ni nini wakati alitaka afe? Hayo ndo matunda ya alichokitarajia,embu tupia picha ya uyo mwanamke.amenikera kweli.
 
akyanani machozi yamenilengalenga.... Sasa kama yule alidhani amani inapatikana kwa hela pekee, ndo atajua sasa. Wapo wengo sana wa hivyo

mie mwenyewe imenisikitisha sana aisee......Money is not everything being surrounded by the people u love dearly

is what matters the most

my friend Power to the People aje aisome na yeye
 
Last edited by a moderator:
Kweli tunajifunza mengi toka kwa wanawake,wengi wa wanawake waliopata kufanikiwa kuwa na kipato ni vigumu sana kusaidia wenza wao na ndio maana wengi wa wanawake hawa hawana waume zaidi ya kujiridhisha na mabwana wa kupita.Ukitaka kumjua mkeo alivyo filisika.
 
Duh, aisee. Inahuzunisha! Ee Bwana Mungu, mke mwema yupo wapi?
 
Wenzetu hawakumbuki tulikotoka na wala hawaoni mbali tunakokwenda.
 
Kweli tunajifunza mengi toka kwa wanawake,wengi wa wanawake waliopata kufanikiwa kuwa na kipato ni vigumu sana kusaidia wenza wao na ndio maana wengi wa wanawake hawa hawana waume zaidi ya kujiridhisha na mabwana wa kupita.Ukitaka kumjua mkeo alivyo filisika.


Sio wote!!
Ni hulka ya binadamu!!!
Wapo pia wanaume wanatabia hiyo!!
Tabia ya mtu ni pale apatapo pesa!!
 
Sio wote!!
Ni hulka ya binadamu!!!
Wapo pia wanaume wanatabia hiyo!!
Tabia ya mtu ni pale apatapo pesa!!
Unaweza kunipa mfano wa wanawake maarufu na wenye mafanikio japo watano ambao wana waume zao?Tunajua kuwa wanaume kuwa na pesa ni jambo la kawaida ila mwanamke akizipata ndio utajua kwa nini anaitwa mwanamke.
 
mie mwenyewe imenisikitisha sana aisee......Money is not everything being surrounded by the people u love dearly

is what matters the most

my friend Power to the People aje aisome na yeye
Heaven on Earth am here inasikitisha kweli. lakini sitaki kuamini wanawake wote wenye pesa wako hivi, tunawajua wanawake wanaovumilia frustrations za waume zao kukosa kazi, kufungwa magerezani, kufilisika etc. wanatunza familia na watoto wanasoma na kuwa watu katika jamii. And most of the time the husbands who are willing to start over always come back better than before. Nafahamu wanawake ambao pia walipoteza kila kitu in the process of caring for sick husbands. Wanaacha kufanya kazi wanajitoa kabisa kuhudumia mgonjwa.

I also know wives (list kidogo) sana lakini ambao will drop you like hot charcoal wakinusa tu umasikini unakaribia. And all these are ups and downs of life. As a very super intelligent good friend of mine tells me what matters is how you deal with the situation before you. Accept the reality and move on. I call this friend MY MESSENGER OF REALITY. Hard but it can be done. So all of you men out there who have been dissed/ dropped mbaya mbovu msihofu sana mambo yaweza kuwa poa sooner or later kama mtu yuko willing kumove on.
 
Last edited by a moderator:
so sad jaman wanawake 2naroho za ajabu sana yan alishndwa kukumbuka mema alotendewa na mume tena mume jaman sio mtu baki loo! ndio mana muda mwingne tunaachwa na roho zetu mbaya

hata hivyo huyo baba amevumilia sana jaman duu apumzke kwa aman
 
Jamani inahuzunisha namuomba Mungu aniepushie roho ya hivyo isiyojali ubinadamu wala kukumbuka fadhila
 
Unaweza kunipa mfano wa
wanawake maarufu na wenye mafanikio japo watano ambao wana waume
zao?Tunajua kuwa wanaume kuwa na pesa ni jambo la kawaida ila mwanamke
akizipata ndio utajua kwa nini anaitwa mwanamke.
mwanamke ukijua thamani yake hata akiwa na pesa kama Bill Gate atakuheshimu! Shida ya mwanamke ni mtu wa kisasi na hapa wanaume hawajui wanajua wanawake ni watu wa kusamehe mnawafanyia wake zenu ujinga anajidai kakusamehe subiri apate pesa ndio utaona atakavyo revenge! Anaweza kukutreat kama mbwa!
 
Back
Top Bottom