Magoya2000
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 574
- 1,130
Habari Wana wa JF...
Mimi ni muhanga wa kutalakina. Kesi yangu ya talaka ilifunguliwa tokea 2018 mpk Leo Bado haijaisha. Ilianzia primary court mpk Sasa ipo high court tusijadili maana ndo mambo ya kisheria yaache tu Sheria uchukue mkondo wake. Ipo hivi baada ya kutengana na X wangu nikapata sub mpya Hila alikuwa Dini tofauti nami.
Nilimpenda naye alinipenda maana alikuwa ananipenda tokea udongoni before my marriage. Nimeishi naye for 3 years nilienjoy sana maisha kiasi nikasahau maumivu ya x wangu wa ndoa. Seriously shemeji nilimkubali mno nikaona kama Mungu kanipendelea kwenye maisha. Nilijitahidi kumuhimiza abadili Dini aje kwangu alikataa hivyo nami nikaweka ngumu nikasema Kila mtu abaki na Dini yake hivyo tukaendelea kuishi pasipo kufanya commitment za kujitambulisha.
Ukweli shemeji yenu alikuwa vizuri idara zote, mapishi pia nilienjoy mno maana Kuna vyakula nilikuwa sivipendi kama tambi na majani ya kunde lkn upishi wake umenifanya nivipende mno. Niliishi naye bila stress zozote hila mnamo tar 29 April 2022 alifariki Dunia ndani kwangu kutokana na Maumivu ya koho na kifua ambaya nahisi yalisababishwa na constipation maana alikuwa ana tatizo Hilo muda mrefu.
Sikujua solution zaidi nilikuwa namsisitiza kula matunda Kwa wingi ili apate haja kubwa lkn matunda hayakumsaidia. Baada ya kifo Kuna Daktari ndo kanielimisha kwamba Hilo tatizo alitakiwa kupingwa Bomba kuvutwa uchafu wote ndo tiba. Kutokana na ushauri huu napenda pia kushare na wana jamii forum kuhusu athari za constipation.
Namshukuru Mungu familia yake ilielewa hivyo tukazika salama maana naye alikuwa anaenda kwao na kueleza ugonjwa unaomsumbua. Nimepoteza mpenzi wangu ambaye alinielewa vizuri mno. Chemistry ziliendana. Sasa naanza maisha upya Bado sijafahamu why this happen to me. Mtu ambaye alinifanya kusahau all pain I passed through Leo hii Mungu anamchukua Why this?
Please Wana jamii nahitahi ushauri wenu. Nini Mungu anakimaanisha kwangu? Maana likesi mpk Sasa haliishi Mahakamani. Ni Shida tu!!
Mimi ni muhanga wa kutalakina. Kesi yangu ya talaka ilifunguliwa tokea 2018 mpk Leo Bado haijaisha. Ilianzia primary court mpk Sasa ipo high court tusijadili maana ndo mambo ya kisheria yaache tu Sheria uchukue mkondo wake. Ipo hivi baada ya kutengana na X wangu nikapata sub mpya Hila alikuwa Dini tofauti nami.
Nilimpenda naye alinipenda maana alikuwa ananipenda tokea udongoni before my marriage. Nimeishi naye for 3 years nilienjoy sana maisha kiasi nikasahau maumivu ya x wangu wa ndoa. Seriously shemeji nilimkubali mno nikaona kama Mungu kanipendelea kwenye maisha. Nilijitahidi kumuhimiza abadili Dini aje kwangu alikataa hivyo nami nikaweka ngumu nikasema Kila mtu abaki na Dini yake hivyo tukaendelea kuishi pasipo kufanya commitment za kujitambulisha.
Ukweli shemeji yenu alikuwa vizuri idara zote, mapishi pia nilienjoy mno maana Kuna vyakula nilikuwa sivipendi kama tambi na majani ya kunde lkn upishi wake umenifanya nivipende mno. Niliishi naye bila stress zozote hila mnamo tar 29 April 2022 alifariki Dunia ndani kwangu kutokana na Maumivu ya koho na kifua ambaya nahisi yalisababishwa na constipation maana alikuwa ana tatizo Hilo muda mrefu.
Sikujua solution zaidi nilikuwa namsisitiza kula matunda Kwa wingi ili apate haja kubwa lkn matunda hayakumsaidia. Baada ya kifo Kuna Daktari ndo kanielimisha kwamba Hilo tatizo alitakiwa kupingwa Bomba kuvutwa uchafu wote ndo tiba. Kutokana na ushauri huu napenda pia kushare na wana jamii forum kuhusu athari za constipation.
Namshukuru Mungu familia yake ilielewa hivyo tukazika salama maana naye alikuwa anaenda kwao na kueleza ugonjwa unaomsumbua. Nimepoteza mpenzi wangu ambaye alinielewa vizuri mno. Chemistry ziliendana. Sasa naanza maisha upya Bado sijafahamu why this happen to me. Mtu ambaye alinifanya kusahau all pain I passed through Leo hii Mungu anamchukua Why this?
Please Wana jamii nahitahi ushauri wenu. Nini Mungu anakimaanisha kwangu? Maana likesi mpk Sasa haliishi Mahakamani. Ni Shida tu!!