Majaribu kwa wenye ndoa

Majaribu kwa wenye ndoa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,147
Reaction score
55,635
Inabidi tusafiri na wenzi wetu,bila kufanya hivyo ndoa zitakuwa hatiani;amekuja dada mrembo kunihudumia dakika chache zilizopita kwenye chumba changu....ukichanganya na maji ya gold niliyokunywa,nikajikuta namshauri anipe kampani.....mbaya zaidi kaniambia ni muda wa kazi.Nipo tu hapa nachezea pc tu nikingojea arudi.


Mrejesho
Hakufika,namshukuru muumba kwa kusikia sala zangu
 
Ila wanawake wakifanya maovu mnalalamika kwa kuwa wao ni malaika
Sio hivyo mkuu,Me ni rahisi kushawishika kuliko ke;kwa mfano akija sawa,asipokuja hakuna shida.
 
mara paaaap, ni mwanaume mwenzio. hapo ndo kutafutana na tochi chumbani.
 
Km anajielewa hatakuja ndo kashakukwepa kisomi,akija kukukampan tupe mrejesho mkuu
 
Siku zote kumbuka neno moja kadiri unavyokula vya watu na vyako huliwa vile vile...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom