Na hii si Leakage ya kawaida ambayo wengi huizungumzia na kuiogopa, hiyo hapo ni overflow kwenye gutter (mtaro) inayokusanya maji, kitu ambacho ndio janga/disaster zaidi.
Inaweza kuwa
1. gutter ni dogo sana so limezidiwa
Au
2. huenda waliweka ‘down pipe’ moja tu, kitu ambacho ikitokea limeziba (labda kwa uchafu) basi ni majanga kama hivo,
au
3. down pipe zina diameter ndogo sn so zimezidiwa na kusababisha overflow kwenye gutter.
Lakini siku zote watu huzungumzia kuzuia leakage tu (mfano matumizi ya Synroof, waterproof cement n.k)
Huyu ni fundi Bonge, saa hizi keshaenda zake chole.
Nimemuona Sinza Kamanyola anaagiza kama walivyoFundi Maiko kashazingua tayari
Kafafanua vzr mpe kazi Sasa uone Cha mtema.kuni.Wewe ndio umefafanua vizuri sasa, utakua ni fundi msomi kabisa unafaa kwa kazi hizo
🤣🤣🤣🤣mambo mengine unaishia kucheka tu