Prezdaa Shaco
Member
- Sep 3, 2013
- 46
- 8
Vyuo nilivyoomba wameshatoa majina yao Mimi simo, Profile yangu sijaambiwa kama niombe tena sasa Niwaeleweje hawa NACTE Naomba msaada kwa anaeelewa chochote...
Vyuo nilivyoomba wameshatoa majina yao Mimi simo, Profile yangu sijaambiwa kama niombe tena sasa Niwaeleweje hawa NACTE Naomba msaada kwa anaeelewa chochote...
Kwani mkuu ulivyoomba vyuo hukuwa unaangalia capacity?
Kwa mfano... faculty flani wameomba mia tatu lakini chuo kinataka wa 4 tuu maana ndio uhuni wa nacte wanaoufanya..sasa wewe kama wew ndio ulitakiwa uangaliee GPA yako inaweza ikawakalisha walee wote ukawa miongoni mwa wale wanne?
Au je ulichoomba vigezo vyake unavyo? I mean vinalandana na ulivyosoma dip?
Na je chuo ulichosoma diploma umekiweka kwenye machaguo yako? (Ni muhimu kukiweka ili kama ukikosa pengine chuo chako lazma kikubebe)
Kama vyote vitatu upo sawa wala usijali kabisa utapangiwa tuu maana kuna second selection ...
Na ikishindikana hapo watakupangia NACTE wenyewe kwenye vyuo ambavyo hujachagua...ila sidhani lazma upate mkuu bhana..utakosaje chuo na umefaulu? Kagua vizuri hayo majina taratibu..
Mimi nimeomba UDOM program mbili, MUCE programm mbili na DUCE moja, na GPA yangu yaniruhusu kuomba vyuo hivo ndio mana nikaomba
Mimi nimeomba UDOM program mbili, MUCE programm mbili na DUCE moja, na GPA yangu yaniruhusu kuomba vyuo hivo ndio mana nikaomba
Ngoja second batch mkuu..
Au kagua hayo majina tena...
Kwan second batch wanaweka kwenye orodha ile ile ya mwanzo au wataandika second selection
Sijajua ila sizani kama wanachanganya kwan huwa ukiingia kweny website yao unakuta ujumbe pale unadownload
Mwenye ya haraka mawasiliano ya NACTE plz help me
Namba zao zipo kwenye website yao.. ila usijisumbue maana hawapokei..
Kumbuka kila mtu now anawapigia