Majanga makubwa 11 yanayomaliza vijana

Majanga makubwa 11 yanayomaliza vijana

Simplicity.

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
2,636
Reaction score
1,664
1. Upigaji wa punyeto

2. Wanawake kutokufikishwa kileleni

3. Wanaume, hasa vijana, kuwa na matatizo ya uume, kwa mjibu wa malalamiko ya wanawake, hasa humu: uume mdogo kama njiti ya kiberiti, dakika sifuri tayari nyege mkononi, kufanya mapenzi kama kuku, dushe kusimama kwa shida au kuwa legelege hata kama limeona papuchi

4. Akina mama/dada kusagana na kutumia madilido kujitia, tena mengi wanayotumia ni marefu na manene kama chupa ya bombadier, Ole wako uwaendee na kibamia

5. Akina dada kukosa waume wa kuwaoa, hata kama wajipitishepitishe vipi mbele ya wanaume

6. Wanaume suruali na madomo zege, refer threads za wadada wa humu

7. Madawa ya kulevya

8. Ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa

9. Kutupa/kutoa mimba na kutelekeza watoto (kutupa/kutoa wanawake, kutelekeza wanaume)

10. Ushoga, hasa vijana wa mijini na kuvaa huku matako yakionekana

11. Kuchepuka

Nyongeza ya wadau:

12. Kubet

13. Pombe

14. Uvivu

15. Ujinga - hawapendi kabisa elimu

16. Ushabiki wa mpira uliopitiliza, hasa ligi za Ulaya

17. Kushinda Gimy kunyanyua vyuma kwa lengo la kutanua kifua na misuli ili upendwe na wanawake hasa wake za watu, ati ukimgegeda akung'ang'anie

18. Kujichubua

19. Kushinda vijiweni, sanasana kazi kubwa ni kula wanawake, hasa wowowo kwa macho

20. Kushinda kwa shemeji yako au hata kwenu, kula kulalaa, kuangalia TV, hasa taarabu au kushinda ukicheza magame

21. Kuvaa suruali ya mpira imening'inia chini na kuvutika nyuma kama vile umevimba matako na kujinyea

22. Show offs kibao na kuiga vitu kichwakichwa wakati huna cha maana ulichofanya: kugongea magari, misosi, magheto, kujifanya Jazz, Beyonce, Eminem au 50 Cent wakati pa kulala huna

23. Kuthamini watu wengine zaidi na kujipendekeza kwao kuliko ndugu zako na wazazi wako

24. Kukataa/kukana wazazi wako hasa wakikufuata mjini, kisa washamba au hawana hadhi

24. Kutowasaidia ndugu na wazazi wako, uwezo unao, cha ajabu wengine unasaidia

25. Kusuka - wanaume. Pia kujiita sijui Rasi/Rastafari, umesokota nywele ndefu kama kamba, chafu zinatoa vumbi, kutwa kuzunguka umebeba begi kubwa mgongoni mitaa yote ya mji hadi beach bila malengo

26. Kulala na mama yako, mtoto wako, ndugu yako/dada/kaka au baba yako - laana

27 . Ushirikina, majungu na uchawi ( humu wamejaa)

28. Kushinda JF na mitandao mingine, mbaya zaidi unapost matamahuluku, yaani unashinda humu kuliko mwenye JF na mods, Hallooo, kazi unafanya saa ngapi? Bado Insta, WhatsApp, fb! Jitafakari

30. Kutumia madawa na bangi halafu unajisifia - Arusha ipo sana

31. Kufanya harusi kubwa na ya kifahari - uwezo huna, unategemea michango yetu!

32. Kugongea choo kwa kijarani

33. Kukopa condom dukani, halafu hulipi deni - hii ni special

34. Kukopa hela halafu hurudishi, ukidaiwa unakuwa mkali - utapeli

35 Kudanganya akina dada kwa kujifanya mtu wa dili na mishemishe wakati ramani haisomi

36. Kushinda jf, ukitetea Chama Cha kwa malipo uchwara, unatoa povu na kukitetea, kujitoa ufahamu na kutumika kama tp, wakati mwenyekiti mwenyewe hana habari nacho

37. Kujifanya mwanamke jf, wakati ni mwanaume

38. Kuimba mziki huku ukishikashika mapumbu!

39. Kuvaa hereni, kutoboa pua, kulambalamba mdomo muda wote, kuvaa suruali halafu chupi inaonekana - mbaya zaidi nyeusi tii kwa uchafu afadhali ya jalala, kujitattoo mwilini kama shetani,
, kuvaa maurembourembo - bangili, mikufu ya kike, shanga - mwanaume!

40. Ufiraji/Tigo

Ukikosekana kwenye hii list, mshukuru Mungu, songa mbele usirudi nyuma kamwe.
 
1. Upigaji wa punyeto

2. Wanawake kutokufikishwa kileleni

3. Wanaume, hasa vijana, kuwa na matatizo ya uume, kwa mjibu wa malalamiko ya wanawake, hasa humu: uume mdogo kama njiti ya kiberiti, dakika sifuri tayari nyege mkononi, kufanya mapenzi kama kuku, dushe kusimama kwa shida au kuwa legelege hata kama limeona papuchi

4. Akina mama/dada kusagana na kutumia madilido kujitia, tena mengi wanayotumia ni marefu na manene kama chupa ya bombadier, Ole wako uwaendee na kibamia

5. Akina dada kukosa waume wa kuwaoa, hata kama wajipitishepitishe vipi mbele ya wanaume

6. Wanaume suruali na madomo zege, refer threads za wadada wa humu

7. Madawa ya kulevya

8. Ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa

9. Kutupa/kutoa mimba na kutelekeza watoto (kutupa/kutoa wanawake, kutelekeza wanaume)

10. Ushoga, hasa vijana wa mijini

11. Kuchepuka

Ukikosekana kwenye hii list, mshukuru Mungu, songa mbele usirudi nyuma kamwe.
Hujataja elimu, ukosefu wa kazi na njaa.

Umejikita sana chini kuliko juu.
 
Utumiaji wa maji mengi
Kuongeza vitu vitu katika maeneo fulani fulani ya mwili
Ongezeko la 'Vibomu'kwa wadada kwenda kwa wakaka, sereneti boys kwenda kwa mama zao(mapenzi ya 20's+60's)

#10 ndo wananiboa zaidi apo
 
Utumiaji wa maji mengi
Kuongeza vitu vitu katika maeneo fulani fulani ya mwili
Ongezeko la 'Vibomu'kwa wadada kwenda kwa wakaka, sereneti boys kwenda kwa mama zao(mapenzi ya 20's+60's)

#10 ndo wananiboa zaidi apo

Agrrr, uvaaji wa hereni, huwa nashangaa hata humu kuona mtu kaweka avatar ya mwanaume kavaa hereni, bila shaka hao watu ni mashoga kama ni me.
 
Kuna dingi yangu mdogo anapenda picha za x balaa yaani ana exteno ya 1 tb na flash ya 500mb na kwenye na laptop hakuna zaidi ya picha na video za ngono
 
1. Upigaji wa punyeto

2. Wanawake kutokufikishwa kileleni

3. Wanaume, hasa vijana, kuwa na matatizo ya uume, kwa mjibu wa malalamiko ya wanawake, hasa humu: uume mdogo kama njiti ya kiberiti, dakika sifuri tayari nyege mkononi, kufanya mapenzi kama kuku, dushe kusimama kwa shida au kuwa legelege hata kama limeona papuchi

4. Akina mama/dada kusagana na kutumia madilido kujitia, tena mengi wanayotumia ni marefu na manene kama chupa ya bombadier, Ole wako uwaendee na kibamia

5. Akina dada kukosa waume wa kuwaoa, hata kama wajipitishepitishe vipi mbele ya wanaume

6. Wanaume suruali na madomo zege, refer threads za wadada wa humu

7. Madawa ya kulevya

8. Ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa

9. Kutupa/kutoa mimba na kutelekeza watoto (kutupa/kutoa wanawake, kutelekeza wanaume)

10. Ushoga, hasa vijana wa mijini

11. Kuchepuka

Ukikosekana kwenye hii list, mshukuru Mungu, songa mbele usirudi nyuma kamwe.
tafadhali huwa sijaribiwi
 
11.Kuangalia picha chafu...Mungu tunakuomba na hili utuepushie mbali vijana wako nalo linaangamiza vijana wengi.
Hadi wake za watu, kuna yupo kila leo ananitumia video za ngono WhatsApp, nimemwambia akiendelea ipo siku nitampelekea mumewe, ni ushenzi sana.
 
If we want to collect we must know where the first drop of rain started turejee tone la kwanza lilianza kutenyeshea wap ndio tutaelewa msng wa mattzo meng vjna maana tumeshatoka kwenye reli lkn bdo htjastuka
 
Kuna dada nilienda kumsalimia jana, akawa amenikaribisga sebuleni kwa juice, nimekunywa, ujuavyo, mkojo ukabana, nikamwambia dada naomba niende uani, akanionyesha mlango, nilipoingia huko karibu nizimie, maana nimekutana na dilido refu kama tube light halafu nene kama mguu wa mwanamke wa kihaya, sitasahau hiyo experience!
 
Kuna dada nilienda kumsalimia jana, akawa amenikaribisga sebuleni kwa juice, nimekunywa, ujuavyo, mkojo ukabana, nikamwambia dada naomba niende uani, akanionyesha mlango, nilipoingia huko karibu nizimie, maana nimekutana na dilido refu kama tube light halafu nene kama mguu wa mwanamke wa kihaya, sitasahau hiyo experience!
 
Back
Top Bottom