Majambazi yavunja ATM Tabata Segerea

Majambazi yavunja ATM Tabata Segerea

Sidhani kama inaweza kuwa rahisi kuiba pesa kwenye ATM 🏧
 
Ndiyo shida ya kutelekeza elimu nchini, kama elimu inayotolewa nchini ingekuwa bora na yenye kumuandaa raia kujiajiri hao wasinge risk kwa kwenda kuvunja ATM, lakini elimu bora imeelekezwa kwa watoto wa vigogo huku watoto wa masikini wakipata elimu duni ambayo inawalazimisha ajira za ujambazi, all in all haya yanayotokea ipo siku yatawakuta waliotufikisha hapa tulipo
tatizo c elim ni umaskin. Mzee wa vijisent mbona ana elim kubwa 2 tena havadi lakin ona. Nå c yeye 2 wengi 2.
 
hahahhaa.... nani kawaambia kua ni rahisi kuiba kwenye ATM .....njia pekee ya kuiba hela kwenye ATM ni ku ichukua ATM mashine yote...hahahaha ukakae nyumbani kwa utuliiiivu kabisa ku choma...maana zina viberiti kwa ndani...kuna baadhi ya sensor ikiguswa..hela zinachomwa automatically...
ujinga bana..hahaha wangewaacha tu hapo..wacheze nalo hadi alfajiri
 
kwel watanzania hal imekuwa ngum had watu wanavunja atm ,hii inatokana na serikal yetu kutowajengea vijana mifumo mizur ya ajira hasa wanapomaliza masomo yao vyuon,vijana weng tumejengewa mazoea ya kuajiliwa tu ofcn wakat nafac zenyewe zinatolewa kwakujuana sana so lazma watu wafikie hatua hyo
 
Ujambazi ni mbaya na hauwezi kuruhusiwa, na hata kwenye Vitabu vitakatifu imesemwa kuwa kila mtu ni sharti afanye kazi ili aweze kuishi.
Tulipokosea ni kuhalalisha hii hali kuwa ili kupata pesa ni lazima kutumia ujanja na kujuana badala ya zile njia asilia za kutumia bidii na maarifa.
Hii hali inazalisha kukata taamaa na kutamani makuu yasiyofikika. Ni wachache tunaweza kukubali kuwa siasa za nchi zinachangia haya mambo ya ujambazi na uhalifu maana ndizo zinatupa tumaini la kesho itakuwaje!
 
wangevunja tu wakaiaba, hali yenyewe ngumu dadadeki!:llama:
 
Heri wavunje tu hizo ATM;
kuliko kutuvamia huku mitaani.
 
Back
Top Bottom