Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,263
Nimeingia Supermarkt moja ,muuzaji akituharikisha tufanye haraka afunge kwaani kapigiwa simu Kuna majambaza wanapita na pikipiki, huku wanafyatua Risasi wakiihitaji pesa,kwa mtu yeyote watakayekutana nae .
Mwnye taarifa kamili atuwekee . !
Ni mitaa ya Kijenge kuelekea Moshono . !
Mwnye taarifa kamili atuwekee . !
Ni mitaa ya Kijenge kuelekea Moshono . !