Majambazi yatikisa tena Kibaha

Majambazi yatikisa tena Kibaha

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Baada ya juma lililopita kuvamia na kupora kwenye maduka ya Mailimoja,leo majambazi wamevamia na kupora maduka ya kwa Mathias. Taarifa zinasema kuwa majambazi yamevamia kwenye maduka yaliyo karibu na barabara ya zamani na kupora fedha na mali nyinginezo. Hakuna aliyeuawa.

Ujambazi Pwani unashika kasi
 
Wamejiajiri hao na maisha yanaendelea!!!!!!!!!!!!!
 
Polisi wameweka nguvu kudhibiti maandamano nchi nzima, majambazi sasa yana-take advantage !!!!!!
 
Baada ya juma lililopita kuvamia na kupora kwenye maduka ya Mailimoja,leo majambazi wamevamia na kupora maduka ya kwa Mathias. Taarifa zinasema kuwa majambazi yamevamia kwenye maduka yaliyo karibu na barabara ya zamani na kupora fedha na mali nyinginezo. Hakuna aliyeuawa.

Ujambazi Pwani unashika kasi

!
!
hongera majambazi kwa kumake it happen.....msiuwe raia ila waonesheni polisi kuwa wao si lolote si chochote mbele yenu wazee wa kazi. Viva majambazi
 
Polisi wana kazi mwaka huu.
Chadema,majambazi,ajali nk
 
polisi wako mtaa wa ufipa na togo kinondoni, kila sku defenda na wako na mtutu.......
 
Back
Top Bottom