Habari wana JF mlioko hapo Moshi.
Taarifa ambazo nimezipta mchana huu ni kuwa majambazi watao 5 wameuwawa na polisi baada ya kuanza kurushiana risasi na polisi. Pia inasadikika kuwa polisi wamewakamata wengine 3 na wanaendelea operaresheni ya kuwakamata wengine.
Kwa mlioko Moshi tunaomba mturushie matangazo ya huko.
Je ni kweli Majambazi ama wamehitilafiana tu na polisi?