Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Habari wana JF mlioko hapo Moshi.
Taarifa ambazo nimezipta mchana huu ni kuwa majambazi watao 5 wameuwawa na polisi baada ya kuanza kurushiana risasi na polisi. Pia inasadikika kuwa polisi wamewakamata wengine 3 na wanaendelea operaresheni ya kuwakamata wengine.
Kwa mlioko Moshi tunaomba mturushie matangazo ya huko.
Je ni kweli Majambazi ama wamehitilafiana tu na polisi?
Taarifa ambazo nimezipta mchana huu ni kuwa majambazi watao 5 wameuwawa na polisi baada ya kuanza kurushiana risasi na polisi. Pia inasadikika kuwa polisi wamewakamata wengine 3 na wanaendelea operaresheni ya kuwakamata wengine.
Kwa mlioko Moshi tunaomba mturushie matangazo ya huko.
Je ni kweli Majambazi ama wamehitilafiana tu na polisi?