View attachment 3391785
Kwa umri wake, katika siasa, Kassim Majaliwa Majaliwa bado ni kinda. Je, sasa inakuwaje hagombei ubunge tena? Je, amestaafu au kastaafishwa? Nani aweza kuwa waziri mkuu baada yake?
Je, hili linasema nini kuhusiana na Mama na Watu wa Jiwe?
CCM na Bakwata wametukosea sana kutuletea Mjukuu wa Suktani kuja kutawala Tanganyika badala ya Kutuketea Ndugu Kasimu Majaliwa.
Katiba kwa kweli inampa rais madaraka makubwa sana . Hata kichaa anaweza akatawala kwa misingi ya ukichaa wake kwa sababu wanaomzunguka wanamuogopa kwa sababu ya Katiba na pia wanamuogopa kwa sababu ya ukichaa wake .
Kasimu alitakiwa achukue Form ya kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Oktoba 2025
Kwanza hana Roho Mbaya .
Pili sio mbaguzi
Tatu sio madini kama aliyepo
Nne ana busara sana
Tano ana uthubutu
Sita anajiamini
Saba ,ana maamuzi sahihi na kwa wakati
Nane anapenda Demokrasia na anapenda watu wa vyama vyote .
Tisa anakubalika
Kumi ana mvuto
Kumi na moja Anaijua nchi vizuri.
Kumi na mbili ,ni Mzalendo wa kweli
Kumi na tatu ,anachukia ufisadi
Kumi na nne hana mambo ya mipasho ya uswahilini
Kumi na tano anapenda maadili mazuri kwa vizazi vyetu
Kumi na sita anakemea Rushwa kwa wazi .
Kumi na saba ana uwezo wa kulinda rasilimali za Tanganyika.
Kumi na nane Hapendi ugaidi na magaidi na fedha za magaidi .
Kumi na tisa hapendi dhulma .
Ishirini Hana tamaa ya madaraka .
Kwa ujumla na muhimu kabisa ni Mtanganyika . Aliyepo sasa hana hata sifa moja katika hizo hapo juu . Lakini pia anatokea Zanzibar ambapo ni nchi yenye Rais. Katika maajabu ya Dunia ni hili la Nchi moja kutoa Marais wawili.