nchonga aliyebaki
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 588
- 1,050
Ila mkuu, hao kina Majaliwa sidhani kama watataka Reforms, maana kwenye katiba mpya kuna pendekezo la ukomo wa mtu kugombea ubunge kuwa vipindi viwili tu. Wakongwe wengi hawawezi kukubaliana na hilo.Jamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.
Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.
Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.
Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.
Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili
Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane
Ujinga mtupuJamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.
Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.
Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.
Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.
Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili
Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane
Ponjoro wa kinondon umegushi vyeti vya elimu tunakupaje uongozi mkubwa kama huu?Mwaka huu mimi Ponjoro wa Kinondoni ndiyo waziri mkuu wenu kenge nyie.
Apumzike ziingie damu changqJamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.
Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.
Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.
Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.
Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili
Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane
Mimi na huyo wakwenu nani ana afadhali?Ponjoro wa kinondon umegushi vyeti vya elimu tunakupaje uongozi mkubwa kama huu?
Huyu mdada namtamanigi.Angejichukulia tu point tatu akapumzike, anaonekana kabisa hatakiwi anafosi fosi
Kwahiyo aache kusimama kutimiza ndoto zake na familia yake,asimame na wewe, PM siyo mjinga kihivyo.Atachukuliwa na wazee.. Hii nchi imejaa watu wajinga sana, PM angejikita kusimama na wananchi nadhani angejieweka kwenye nafasi nzuri mno.
Enewei nasikia Jimbo lake hakuna aliyechukua mpaka sasa
Afu we ponjoro kweli Nini 😂😂Mwaka huu mimi Ponjoro wa Kinondoni ndiyo waziri mkuu wenu kenge nyie.
Mnaleta story nyingi hazieleweki,huwa mnazipata wapi?Jamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.
Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.
Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.
Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.
Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili
Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane