Kwamba ushaamka mapema namna hii??? Njoo kanisani nikuombee...Duh kweli maisha yamekabaa![]()





Yaani huyo jaji wa kati rangi ya uso wake na mikono yake tofauti kabisa afu anahukumu urembo wa wenzieNaona jaji wa kati macho yashaanza kulegea

Yaani huyo jaji wa kati rangi ya uso wake na mikono yake tofauti kabisa afu anahukumu urembo wa wenzie![]()
![]()

Nipo kanisani, ni vile mchungaji kasema tuimbe tenzi sasa mimi yangu iko simuniKwamba ushaamka mapema namna hii??? Njoo kanisani nikuombee...