Majadiliano kati ya Barrick na serikali ni kwa gharama ya nani?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,371
Je,ni sisi wenyeji?

Je,ni wageni?

Je,ni pande zote mbili zinachangia gharama?

Kama kuna upande mmoja ndio unabeba gharama zote zikiwemo chakula,malazi,usafiri n.k,anaegharamiwa kisaikolojia anakuwa katika hali gani?

Je,hakuna effect yoyote katika mazungumzo iwapo upande mmoja ndio utakuwa unagharamia kila kitu?

Yaani mtu akupe usafiri mzuri,malazi bora, chakula cha high standard, na huduma zingine zote muhimu bure,kisaikolojia hali hii haina infuence/effect yoyote?

Na je,ukibeba sehemu kubwa ya gharama alafu mwisho wa siku mazungumzo yakakuendea vibaya napo inakuwaje?

Au kugharamia mazungumzo hakuna effect yoyote kwasababu kila upande ungeweza kujigharamia?

Nawaza tu but I am sure a smart person definetly would avoid this.
 
Je,ni sisi wenyeji?

Je,ni wageni?

Je,ni pande zote mbili zinachangia gharama?

Kama kuna upande mmoja ndio unabeba gharama zote zikiwemo chakula,malazi,usafiri n.k,anaegharamiwa kisaikolojia anakuwa katika hali gani?

Je,hakuna effect yoyote katika mazungumzo iwapo upande mmoja ndio utakuwa unagharamia kila kitu?

Yaani mtu akupe usafiri mzuri,malazi bora, chakula cha high standard, na huduma zingine zote muhimu bure,kisaikolojia hali hii haina infuence/effect yoyote?

Na je,ukibeba sehemu kubwa ya gharama alafu mwisho wa siku mazungumzo yakakuendea vibaya napo inakuwaje?

Au kugharamia mazungumzo hakuna effect yoyote kwasababu kila upande ungeweza kujigharamia?

Nawaza tu.
Kwa kodi yako
 
Hilo suala hata mie nimemuuliza jamaa zangu wote blaa blaa!!!
Na kwanza nasikia jamaa wenyewe waishakataa kulipa kwamjibu wa vyombo vya hbr kenya.
Kama ni sie tunalipa ni bora tuwaachie tu maana tutazidi kupigwa tu hasara bure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je,ni sisi wenyeji?

Je,ni wageni?

Je,ni pande zote mbili zinachangia gharama?

Kama kuna upande mmoja ndio unabeba gharama zote zikiwemo chakula,malazi,usafiri n.k,anaegharamiwa kisaikolojia anakuwa katika hali gani?

Je,hakuna effect yoyote katika mazungumzo iwapo upande mmoja ndio utakuwa unagharamia kila kitu?

Yaani mtu akupe usafiri mzuri,malazi bora, chakula cha high standard, na huduma zingine zote muhimu bure,kisaikolojia hali hii haina infuence/effect yoyote?

Na je,ukibeba sehemu kubwa ya gharama alafu mwisho wa siku mazungumzo yakakuendea vibaya napo inakuwaje?

Au kugharamia mazungumzo hakuna effect yoyote kwasababu kila upande ungeweza kujigharamia?

Nawaza tu but I am sure a smart person definetly would avoid this.
Ni kwa gharama za mafisadi chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je,ni sisi wenyeji?

Je,ni wageni?

Je,ni pande zote mbili zinachangia gharama?

Kama kuna upande mmoja ndio unabeba gharama zote zikiwemo chakula,malazi,usafiri n.k,anaegharamiwa kisaikolojia anakuwa katika hali gani?

Je,hakuna effect yoyote katika mazungumzo iwapo upande mmoja ndio utakuwa unagharamia kila kitu?

Yaani mtu akupe usafiri mzuri,malazi bora, chakula cha high standard, na huduma zingine zote muhimu bure,kisaikolojia hali hii haina infuence/effect yoyote?

Na je,ukibeba sehemu kubwa ya gharama alafu mwisho wa siku mazungumzo yakakuendea vibaya napo inakuwaje?

Au kugharamia mazungumzo hakuna effect yoyote kwasababu kila upande ungeweza kujigharamia?

Nawaza tu but I am sure a smart person definetly would avoid this.
Unauoita usafiri mzuri, chakula cha high standard nk, ni according to your values, amini usiamini kwa delegation husika hayo ni maisha ya kila siku yanayoghalimiwa na taasisi zao ktk itekelezaji wa majukumu yao ya kikazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je,ni sisi wenyeji?

Je,ni wageni?

Je,ni pande zote mbili zinachangia gharama?

Kama kuna upande mmoja ndio unabeba gharama zote zikiwemo chakula,malazi,usafiri n.k,anaegharamiwa kisaikolojia anakuwa katika hali gani?

Je,hakuna effect yoyote katika mazungumzo iwapo upande mmoja ndio utakuwa unagharamia kila kitu?

Yaani mtu akupe usafiri mzuri,malazi bora, chakula cha high standard, na huduma zingine zote muhimu bure,kisaikolojia hali hii haina infuence/effect yoyote?

Na je,ukibeba sehemu kubwa ya gharama alafu mwisho wa siku mazungumzo yakakuendea vibaya napo inakuwaje?

Au kugharamia mazungumzo hakuna effect yoyote kwasababu kila upande ungeweza kujigharamia?

Nawaza tu but I am sure a smart person definetly would avoid this.
Ntalipa.
 
Je,ni sisi wenyeji?

Je,ni wageni?

Je,ni pande zote mbili zinachangia gharama?

Kama kuna upande mmoja ndio unabeba gharama zote zikiwemo chakula,malazi,usafiri n.k,anaegharamiwa kisaikolojia anakuwa katika hali gani?

Je,hakuna effect yoyote katika mazungumzo iwapo upande mmoja ndio utakuwa unagharamia kila kitu?

Yaani mtu akupe usafiri mzuri,malazi bora, chakula cha high standard, na huduma zingine zote muhimu bure,kisaikolojia hali hii haina infuence/effect yoyote?

Na je,ukibeba sehemu kubwa ya gharama alafu mwisho wa siku mazungumzo yakakuendea vibaya napo inakuwaje?

Au kugharamia mazungumzo hakuna effect yoyote kwasababu kila upande ungeweza kujigharamia?

Nawaza tu but I am sure a smart person definetly would avoid this.
Your not mentally stable...you should seek Doctor help!
 
Je,ni sisi wenyeji?

Je,ni wageni?

Je,ni pande zote mbili zinachangia gharama?

Kama kuna upande mmoja ndio unabeba gharama zote zikiwemo chakula,malazi,usafiri n.k,anaegharamiwa kisaikolojia anakuwa katika hali gani?

Je,hakuna effect yoyote katika mazungumzo iwapo upande mmoja ndio utakuwa unagharamia kila kitu?

Yaani mtu akupe usafiri mzuri,malazi bora, chakula cha high standard, na huduma zingine zote muhimu bure,kisaikolojia hali hii haina infuence/effect yoyote?

Na je,ukibeba sehemu kubwa ya gharama alafu mwisho wa siku mazungumzo yakakuendea vibaya napo inakuwaje?

Au kugharamia mazungumzo hakuna effect yoyote kwasababu kila upande ungeweza kujigharamia?

Nawaza tu but I am sure a smart person definetly would avoid this.
Mkuu Salary Slip, wewe ni mmoja wa wale walioamini kuwa barrick hawatakuja Dar. Leo unaulizia gharama za uendeshaji wa vikao kati ya serikali na hao hao barrick!!!.

Una haki ya kufanya hivyo lakini kimaadili tayari umeshaonyesha udhaifu mkubwa kwenye ufuatiliaji wa suala hili.
 
Mkuu Salary Slip, wewe ni mmoja wa wale walioamini kuwa barrick hawatakuja Dar. Leo unaulizia gharama za uendeshaji wa vikao kati ya serikali na hao hao barrick!!!.

Una haki ya kufanya hivyo lakini kimaadili tayari umeshaonyesha udhaifu mkubwa kwenye ufuatiliaji wa suala hili.
Hivi ni nani alituambia tutalipwa na alipoona kimya hawaji akaanza kuwa na wasiwasi hawaji mpaka akatishia kufunga migodi?

Mbona huyo hamumuhoji na yeye ndio alitutangazia?
 
Mkuu Salary Slip, wewe ni mmoja wa wale walioamini kuwa barrick hawatakuja Dar. Leo unaulizia gharama za uendeshaji wa vikao kati ya serikali na hao hao barrick!!!.

Una haki ya kufanya hivyo lakini kimaadili tayari umeshaonyesha udhaifu mkubwa kwenye ufuatiliaji wa suala hili.
Waache waoane eee!!!
 
Back
Top Bottom