Kumbe sio mara ya kwanza kukutokea !π€, pole sana Sweetie ila njia ya kwanza ya kusolve hii issue nadhani ni kuhakikisha unafunga milango yote na madirisha vizuri kabla hujala, halafu kama una mme yeye ndo awe analala huku mbeleni, wewe uwe mbali na mlango kuliko yeye, lakini pia kama ni mtu wa kusali/kuswali sana ongeza bidii. Lakini pia kitu kingine
SweetyCandy FUNGA PM TAFADHALI π