Wacha JPM aendelee kuinyoosha nchi.
Watu walikuwa wameshaharibika maumbo kila mtu KITAMBI, si mtoto, si Askari, hata wazee. Wanawake ndio kabisaaa...msichana mdogo ananenepeana kama kondoo ukimwona kwa mbali hujui anakuja au anaenda!
Magu kanyaga twende baba.