Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,241
Habari wakuu hii ni thread ambayo itakuwa inazungumzia mambo yanayohusu watu wote wenye jinsia ya kiume, hasahasa kipindi cha balehe mpaka utu uzima kuna changamoto mbalimbali vijana huzipitia katika kipindi hiki, ikiwemo balehe, mahusiano ya kimapenzi n.k
Ni imani yangu hili ni jukwaa linalokutanisha wanaume wa umri mbalimbali wanaoweza kukakaa na kushauri ni jinsi gani.
1. Walivyoweza kupata wenza wa kweli
2. Kupambana na balehe na visanga vyake
3. Nyeto na mbinu za kuacha
4. Kuachana na wanawake pasua kichwa
5.Kuachana na tabia ya kubembeleza mwanamke
Haya ni baadhi ya maswali machache tutakayoanza nayo kama kuna lolote unaweza kulijibu mchango wako utakuwa umesaidia mtu mmoja wapo.
Mana imefikia hatua vijana wanajiua kisa mapenzi na vitu vingine kama unavyo
Na pia usisahu kuweka sheria mbalimbali za mabahalia nakalibisha Naomi.
Wenu mdogo wenu jika.
Ni imani yangu hili ni jukwaa linalokutanisha wanaume wa umri mbalimbali wanaoweza kukakaa na kushauri ni jinsi gani.
1. Walivyoweza kupata wenza wa kweli
2. Kupambana na balehe na visanga vyake
3. Nyeto na mbinu za kuacha
4. Kuachana na wanawake pasua kichwa
5.Kuachana na tabia ya kubembeleza mwanamke
Haya ni baadhi ya maswali machache tutakayoanza nayo kama kuna lolote unaweza kulijibu mchango wako utakuwa umesaidia mtu mmoja wapo.
Mana imefikia hatua vijana wanajiua kisa mapenzi na vitu vingine kama unavyo
Na pia usisahu kuweka sheria mbalimbali za mabahalia nakalibisha Naomi.
Wenu mdogo wenu jika.
