Maisha ya South Africa daaah!!

Maisha ya South Africa daaah!!

kwakina itafakari

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
726
Reaction score
1,626
Unajua maisha haya bongo watu wengi wameshachoka sana tu ila amekosekana HERO wa kulianzisha tu ili watu wamalize kila kitu,na siku akitokea tu huyo mtu,yaan acha kabisaaa....

Talking about a hero,inanipeleka moja kwa moja kwenye tukio moja hivi one day pande za hillbrow

Nakatiza kwenye boda langu flani hivi ambalo daily huwa napita nikiwa naenda au narudi kwenye mishe zangu,sasa nimefika kwenye hii apartment ya Gate Way upande wa pili naona nyomi kama lote, watu kibao

Ikabidi nisogee ili nione kuna nini kinaendelea,nafika pale nakuta kuna mwana yupo chini analia tu full midamu,ameshapasuka vya kutosha halafu kuna mchizi kasimama mbele yake,anamungalia kiroho mbaya then anaendelea kumtia vitasa na mateke ya kufa mtu mpaka anachoka mwenyewe,anamwangalia tena kiroho mbaya huku anavuta pumzi then anarudia tena kumtandika kihasira

Daaah!!inauliza watu vp hapa mbona hivi,Si atamuua huyu? .... kuna mwana akanipa full story....

Ukiwa unaambaa na claim street kama unakwenda darajani,ukishavuka tu mtaa wa Bok kwa mbele kidogo upande wa kushoto kuna mjengo mmoja mkubwa tu siku hizi unaitwa GATE WAY,ndani ya huu mjengo kwenye nafikiri ground floor kuna bonge la gym,na vile vile hii apartment inatumiwa sana na wanafunzi

Sasa hapa kuna kimtaa flani hivi kifupi tu ambacho ukikatiza unajikuta unatazamana tu na main gate la kuingilia kwenye hii apartment,ila tatizo la hiki kimtaa ni eneo la kujidai la watoto wa babu wale wazee wa ngeta,kuna Chaka lao hapa

Sasa kumbe huyu mchizi anayemtandika mwenzake kiroho mbaya alijichanganya akapita kwenye hiki kimtaa anaelekea gym,wazee wa kazi kama wanne hivi wakasema nae,fasta wakampukutisha simu yake Kali tu then kama kawa wakakimbilia kwenye Chaka Lao,ila mchizi akawaunganishia

Kabla Yule wa mwisho kuzama ndani ya Chaka mwana akamdandia mgongoni wakaenda wote mpaka chini hapo hapo kwenye mlango wa chaka,baada ya kufanikiwa kumdhibiti akamvutia pembeni kidogo halafu ndio akawa anatembeza kichapo kikali anataka simu yake

Ndio me nafika hapo na kukuta kichapo kinaendelea na watu kibao wanaangalia,sasa wakati Yule mwizi anakula kichapo pale chini wenzake wapo juu ya mjengo wanaona kila kitu ila wanaogopa kushuka chini ili kumsaidia mwenzao

Mwishowe wakaona isiwe tabu mwenzao atakufa hivi hivi,wakamtuma dada flani kuileta ile simu kwa yule mchizi,baada ya mchizi kupewa simu yake akaicheki cheki na kuona ipo fresh tu,akaomba aletewe begi pamoja na t shirt yake,kipindi anamtandika Yule mwizi alivua begi na nguo ya juu akawapa wapopo wamuhifadhie kwenye saluni yao hapo hapo tu kwenye huo mjengo Chaka wa wezi

Basi baada ya kupewa hivyo vitu vyake akaletewa na maji kuosha mikono maana ilikuwa imejaa damu,then mchizi huyo mdogo mdogo anasepa.sasa kabla hata mchizi hajamaliza hatua hata tatu,Yule mwizi akanyanyuka fasta anakimbilia ndani (kwa kile kichapo alichopewa watu waliamini Yule hainuki pale mpaka wenzake waje kumbeba)

Basi lile nyomi likalipuka kwa shangae za kufa mtu huku baadhi wakimuungnishia yule mwizi na makonzi ya hapa na pale mwizi hakujali akafosi kuingia ndani tu na wakati huo huo yule mchizi akashangiliwa sana wakati anasepa mdogo mdogo.

Sasa nilichojifunza pale ni kwamba,watu wengi pale mtaani walikuwa wameshachoshwa na tabia za wale wezi sema tu walikuwa waoga wa kudeal nao kwa namna kama ile ya Yule mchizi,ndio maana Yule mwamba akashangiliwa sana baada ya kurudishiwa simu yake,na hiki ndio ninachokiona ndani ya Bongo sasa hivi.

Enewei ngoja siku nyingine tena mashetani ya kuandika yakipanda nitawasimulia jinsi me mwenyewe nilivyopigwa hela na malaya ndani ya jozi na vile vile jinsi watoto wa babu wanavyokaba watu mchana kweupeee mitaa ya hillbrow na sisi 'raia ' tukiangalia huku nimetulia tulii kama vile hatuoni.
 
Unajua maisha haya bongo watu wengi wameshachoka sana tu ila amekosekana HERO wa kulianzisha tu ili watu wamalize kila kitu,na siku akitokea tu huyo mtu,yaan acha kabisaaa....

Talking about a hero,inanipeleka moja kwa moja kwenye tukio moja hivi one day pande za hillbrow

Nakatiza kwenye boda langu flani hivi ambalo daily huwa napita nikiwa naenda au narudi kwenye mishe zangu,sasa nimefika kwenye hii apartment ya Gate Way upande wa pili naona nyomi kama lote, watu kibao

Ikabidi nisogee ili nione kuna nini kinaendelea,nafika pale nakuta kuna mwana yupo chini analia tu full midamu,ameshapasuka vya kutosha halafu kuna mchizi kasimama mbele yake,anamungalia kiroho mbaya then anaendelea kumtia vitasa na mateke ya kufa mtu mpaka anachoka mwenyewe,anamwangalia tena kiroho mbaya huku anavuta pumzi then anarudia tena kumtandika kihasira

Daaah!!inauliza watu vp hapa mbona hivi,Si atamuua huyu? .... kuna mwana akanipa full story....

Ukiwa unaambaa na claim street kama unakwenda darajani,ukishavuka tu mtaa wa Bok kwa mbele kidogo upande wa kushoto kuna mjengo mmoja mkubwa tu siku hizi unaitwa GATE WAY,ndani ya huu mjengo kwenye nafikiri ground floor kuna bonge la gym,na vile vile hii apartment inatumiwa sana na wanafunzi

Sasa hapa kuna kimtaa flani hivi kifupi tu ambacho ukikatiza unajikuta unatazamana tu na main gate la kuingilia kwenye hii apartment,ila tatizo la hiki kimtaa ni eneo la kujidai la watoto wa babu wale wazee wa ngeta,kuna Chaka lao hapa

Sasa kumbe huyu mchizi anayemtandika mwenzake kiroho mbaya alijichanganya akapita kwenye hiki kimtaa anaelekea gym,wazee wa kazi kama wanne hivi wakasema nae,fasta wakampukutisha simu yake Kali tu then kama kawa wakakimbilia kwenye Chaka Lao,ila mchizi akawaunganishia

Kabla Yule wa mwisho kuzama ndani ya Chaka mwana akamdandia mgongoni wakaenda wote mpaka chini hapo hapo kwenye mlango wa chaka,baada ya kufanikiwa kumdhibiti akamvutia pembeni kidogo halafu ndio akawa anatembeza kichapo kikali anataka simu yake

Ndio me nafika hapo na kukuta kichapo kinaendelea na watu kibao wanaangalia,sasa wakati Yule mwizi anakula kichapo pale chini wenzake wapo juu ya mjengo wanaona kila kitu ila wanaogopa kushuka chini ili kumsaidia mwenzao

Mwishowe wakaona isiwe tabu mwenzao atakufa hivi hivi,wakamtuma dada flani kuileta ile simu kwa yule mchizi,baada ya mchizi kupewa simu yake akaicheki cheki na kuona ipo fresh tu,akaomba aletewe begi pamoja na t shirt yake,kipindi anamtandika Yule mwizi alivua begi na nguo ya juu akawapa wapopo wamuhifadhie kwenye saluni yao hapo hapo tu kwenye huo mjengo Chaka wa wezi

Basi baada ya kupewa hivyo vitu vyake akaletewa na maji kuosha mikono maana ilikuwa imejaa damu,then mchizi huyo mdogo mdogo anasepa.sasa kabla hata mchizi hajamaliza hatua hata tatu,Yule mwizi akanyanyuka fasta anakimbilia ndani (kwa kile kichapo alichopewa watu waliamini Yule hainuki pale mpaka wenzake waje kumbeba)

Basi lile nyomi likalipuka kwa shangae za kufa mtu huku baadhi wakimuungnishia yule mwizi na makonzi ya hapa na pale mwizi hakujali akafosi kuingia ndani tu na wakati huo huo yule mchizi akashangiliwa sana wakati anasepa mdogo mdogo.

Sasa nilichojifunza pale ni kwamba,watu wengi pale mtaani walikuwa wameshachoshwa na tabia za wale wezi sema tu walikuwa waoga wa kudeal nao kwa namna kama ile ya Yule mchizi,ndio maana Yule mwamba akashangiliwa sana baada ya kurudishiwa simu yake,na hiki ndio ninachokiona ndani ya Bongo sasa hivi.

Enewei ngoja siku nyingine tena mashetani ya kuandika yakipanda nitawasimulia jinsi me mwenyewe nilivyopigwa hela na malaya ndani ya jozi na vile vile jinsi watoto wa babu wanavyokaba watu mchana kweupeee mitaa ya hillbrow na sisi 'raia ' tukiangalia huku nimetulia tulii kama vile hatuoni.
Mkuu chukua na unitag ukileta hiyo story nyingine, nami nimejisikia kama nipo huko hillbrow
 
Unajua maisha haya bongo watu wengi wameshachoka sana tu ila amekosekana HERO wa kulianzisha tu ili watu wamalize kila kitu,na siku akitokea tu huyo mtu,yaan acha kabisaaa....

Talking about a hero,inanipeleka moja kwa moja kwenye tukio moja hivi one day pande za hillbrow

Nakatiza kwenye boda langu flani hivi ambalo daily huwa napita nikiwa naenda au narudi kwenye mishe zangu,sasa nimefika kwenye hii apartment ya Gate Way upande wa pili naona nyomi kama lote, watu kibao

Ikabidi nisogee ili nione kuna nini kinaendelea,nafika pale nakuta kuna mwana yupo chini analia tu full midamu,ameshapasuka vya kutosha halafu kuna mchizi kasimama mbele yake,anamungalia kiroho mbaya then anaendelea kumtia vitasa na mateke ya kufa mtu mpaka anachoka mwenyewe,anamwangalia tena kiroho mbaya huku anavuta pumzi then anarudia tena kumtandika kihasira

Daaah!!inauliza watu vp hapa mbona hivi,Si atamuua huyu? .... kuna mwana akanipa full story....

Ukiwa unaambaa na claim street kama unakwenda darajani,ukishavuka tu mtaa wa Bok kwa mbele kidogo upande wa kushoto kuna mjengo mmoja mkubwa tu siku hizi unaitwa GATE WAY,ndani ya huu mjengo kwenye nafikiri ground floor kuna bonge la gym,na vile vile hii apartment inatumiwa sana na wanafunzi

Sasa hapa kuna kimtaa flani hivi kifupi tu ambacho ukikatiza unajikuta unatazamana tu na main gate la kuingilia kwenye hii apartment,ila tatizo la hiki kimtaa ni eneo la kujidai la watoto wa babu wale wazee wa ngeta,kuna Chaka lao hapa

Sasa kumbe huyu mchizi anayemtandika mwenzake kiroho mbaya alijichanganya akapita kwenye hiki kimtaa anaelekea gym,wazee wa kazi kama wanne hivi wakasema nae,fasta wakampukutisha simu yake Kali tu then kama kawa wakakimbilia kwenye Chaka Lao,ila mchizi akawaunganishia

Kabla Yule wa mwisho kuzama ndani ya Chaka mwana akamdandia mgongoni wakaenda wote mpaka chini hapo hapo kwenye mlango wa chaka,baada ya kufanikiwa kumdhibiti akamvutia pembeni kidogo halafu ndio akawa anatembeza kichapo kikali anataka simu yake

Ndio me nafika hapo na kukuta kichapo kinaendelea na watu kibao wanaangalia,sasa wakati Yule mwizi anakula kichapo pale chini wenzake wapo juu ya mjengo wanaona kila kitu ila wanaogopa kushuka chini ili kumsaidia mwenzao

Mwishowe wakaona isiwe tabu mwenzao atakufa hivi hivi,wakamtuma dada flani kuileta ile simu kwa yule mchizi,baada ya mchizi kupewa simu yake akaicheki cheki na kuona ipo fresh tu,akaomba aletewe begi pamoja na t shirt yake,kipindi anamtandika Yule mwizi alivua begi na nguo ya juu akawapa wapopo wamuhifadhie kwenye saluni yao hapo hapo tu kwenye huo mjengo Chaka wa wezi

Basi baada ya kupewa hivyo vitu vyake akaletewa na maji kuosha mikono maana ilikuwa imejaa damu,then mchizi huyo mdogo mdogo anasepa.sasa kabla hata mchizi hajamaliza hatua hata tatu,Yule mwizi akanyanyuka fasta anakimbilia ndani (kwa kile kichapo alichopewa watu waliamini Yule hainuki pale mpaka wenzake waje kumbeba)

Basi lile nyomi likalipuka kwa shangae za kufa mtu huku baadhi wakimuungnishia yule mwizi na makonzi ya hapa na pale mwizi hakujali akafosi kuingia ndani tu na wakati huo huo yule mchizi akashangiliwa sana wakati anasepa mdogo mdogo.

Sasa nilichojifunza pale ni kwamba,watu wengi pale mtaani walikuwa wameshachoshwa na tabia za wale wezi sema tu walikuwa waoga wa kudeal nao kwa namna kama ile ya Yule mchizi,ndio maana Yule mwamba akashangiliwa sana baada ya kurudishiwa simu yake,na hiki ndio ninachokiona ndani ya Bongo sasa hivi.

Enewei ngoja siku nyingine tena mashetani ya kuandika yakipanda nitawasimulia jinsi me mwenyewe nilivyopigwa hela na malaya ndani ya jozi na vile vile jinsi watoto wa babu wanavyokaba watu mchana kweupeee mitaa ya hillbrow na sisi 'raia ' tukiangalia huku nimetulia tulii kama vile hatuoni.
Hao watoto wa babu ndo wanajiita 26?
 
Bongo natamani siku tuwaamshie bodaboda wanaojifanya nchi yao hata kama yeye ndo kakupiga pasi kaanguka wanakuja mob kukujazia nzi na kukuibia. Huwa nataman niwapasue iwe fundisho sema naona itaniletea usumbufu tu wa kusumbuana na polisi japo najua haitofika mbali
 
🤣🤣🤣Bondeni full msala....kichapo kala simu kaikosa....kongole kwake mwamba mtoa dozi💪

Mwana hakutaka unyonge kabisaa,maana South kawaida tu kuibiwa vitu vyako then unapigwa makofi mawili matatu ,kisha unaambiwa kimbia haraka sana tusikuone hapa,na kweli unatoka mduki Kali utafikiri wewe ndio mwizi!!
 
Back
Top Bottom