Na haya, ni sehemu ya maisha ya wanyarwanda. Ukiwa na flat TV,hata kama ni 15", wewe ni mlengwa wa kutembelewa na hawa jama wanaochimba na kutoboa nyumba. Bora huyu alikuwa na tofari imara kidogo,hata ikiwa ukutani na blacket lake, itaondoka tuuuu. Je, wale waliojengea tofari za udongo?
Cha ajabu, wezi hawa,hata ukifanikiwa kumkamata, ukimuua, unafungwa, ukimjeruhi, unafungwa. Wizi utaisha?