Maisha ya Papa Francis

Wewe kama ni mshabiki wa Timu, uko tayari kusimuliwa, yaani kupewa matokeo?

Kusimuliwa na kupewa matokeo ni vitu viwili tofauti.Kusimuliwa unaelezwa pia mechi ilivyokuwa.Sasa badala ya kumsumbua mtu akufanyie hiyo kazi kila siku kwanin usiingie goal.com faster ukacheck news kisha ukaendelea na yako.Hii ya pili ingekuwa nzuri zaidi maana haiwasumbui wengine kwa starehe zako.
 

Mkuu maswala ya Imani ni complecated sana, huyo Pope ameacha baada ya kuona labda hayo mambo yanafanya asiwe serious na Ucha Mungu. Kahamua tu, hata mwingine aneweza akahamua kufunga (kuacha kula) ili awe karibu na Mungu wake katika maombi
 

hili nalo neno...!! ..


 
Mkuu maswala ya Imani ni complecated sana, huyo Pope ameacha baada ya kuona labda hayo mambo yanafanya asiwe serious na Ucha Mungu. Kahamua tu, hata mwingine aneweza akahamua kufunga (kuacha kula) ili awe karibu na Mungu wake katika maombi

Natambua hivyo, nisingekuwa na la kusema kama angekuwa hana hizo stimu za kufuatilia mpira, lakin kwa kuwa anazo badala ya kumsumbua mtu afuatilie kwa niaba yake na kumsimulia nadhan ina mak sense kufanya kama anavyofanya kwenye magazeti kwa kutumia dk zake 10 kucheck matokeo na preview kisha anaendelea na mengine.

Najua kuna wengine wanajikana mazima, wanaipoteza kabisa dunia, ila kwahiyo kwa mfano huo wa mpira maana yake bado anaufuatilia sana mpira.
 

vipi mkuu umepaniki niwaletee mchanga mtwangane na huyu jamaa??
 
Wewe ujitambui, kwani Umeambiwa Papa ameacha kuhudumia watu?. Lakini kwani wewe uwezi ukahamua kuacha kuangalia Tv na Internet?, Mbona jamii za wafugaji mpaka leo vijijini hawana Tv hata Internet na Wanaishi?
nimeongelea ishu ya watawa. Halafu vichwa maandazi kama nyinyi mbona mnapendsa kutukana mtu mkitofaautiana misimamo? Ungekuwa na akli kutuzidi wote usingekuwa unatukana watu mliotofoatuiana hoja
 
Acha kupotosha umma wewe, neno ukristo wewe umelitoa wapi, ebu tueleze hapa, au mnafuata mkumbo tu.
Wewe unashangaa Yesu/Nabii Isah kuwa na mzazi mmoja? mbona hushangai Nabii Adam ambaye alikuwa hana baba wa mama.

Matendo 11:26

26 hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.

1Petro 4:16

16 Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya, bali amtukuze Mungu katika jina hilo.
 

mwanamalundi,,,
 

Mkuu mbona umepaniki sana?Unataka kusema Fransis pamoja na upapa wake sio mwanadamu?

Ni 100% flesh and blood like you na ana hulka zake...hiyo PR ya Vatican imeamua kulitangaza ili kumpa "image" kua ana uweza wa kimungu kivile...either ni kweli au si kweli,alikua ana haja gani ya kuweka hadharani?Ili iweje hasa?PR tu

Sijaona cha ajabu hapo,haimfanyi awe superior being ...kuna wanaofanya ten times fold of that ila huwezi wasikia wanapolitiki kivilee
 
Hata pale Itahwa Parish, Bukoba wapo wa CLALA wanakaa ndani ya uzio mkubwa na hawatoki nje. Kila kitu chao kimo humo. Wanalima wanafuga na kula wao. Mara chache sana hutoka humu kwa shughuli maalumu tu na sio kwenda eti dukani!

mkuu ngoja nikuibie siri ila usimwambie mtu nakuomba ujue hawa masista wasiotoka ispokua kwa shughuli maalum nishawahi kuwaona wametoka ilikua pasaka moja saa tano tano hivi usiku wakaenda hoteli moja kaunta private kabsa ghorofani ikawa kila sista amekaa chemba ndogo na padri kulikuepo na jozi saba za hawa watu au ndo shughuli maalum zenyewe izo? usiniombe ushahidi wa picha,, sitokujibu
 

Unataka kuwadhalilisha tu! Nawajua sana that will never happen to CLALANS, Hawa wengine inawezakana???? lakini nalo hilo sidhani, wakiwa wamevaa shela? Gauni za kawaida??????
 
Unataka kuwadhalilisha tu! Nawajua sana that will never happen to CLALANS, Hawa wengine inawezakana???? lakini nalo hilo sidhani, wakiwa wamevaa shela? Gauni za kawaida??????

hakiamungu nakuapia mkuu tena wakiwa wamevaa nguo zao hivyo hivyo na mapadre
 

Bado hujajibu nilichouliza hapo juu, nimesema wapi mmetoa neno ukristo? Wewe unaniambia ''wakristo'', sijui ''mkristo''! ndicho nilichouliza hicho?
 

Amejitenga na dunia lakni hawezi kuombea hata mgonjwa kama alivyo fanya Yesu
 

Amina!,Jina la Kristu lihimidiwe milele.
 
vipi mkuu umepaniki niwaletee mchanga mtwangane na huyu jamaa??

Sijapaniki mkuu!,isipokuwa mimi natetea kile ninachokiamini maana sioni kazi kufa kwaajili ya kile ninachokiamini,Jambo la msingi hapo ni kuwa wastaarabu ktk kuheshimu Imani za wenzetu hata km hatuzikubali na huko ndio kukomaa kiutu uzima tofauti na hapo wewe ni sawa na mtoto mdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…