Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,112
- 165,924
Sasa tukiiga au kukaa mbali na internet nani atacomment post yako??
hahahahaha, papa anatuuzia chai hapa... mjinga ndiye atakaye amini ....
Sababu ya kutokutazama runinga ni nini haswa?
Ni papa wa majini au nchi kavu
Papa aache uongo, kwa dunia ya sasa hilo haliwezekani, hasa kwa mtu kama yeye, TV hadi barabarani unazikwepaje, labda awe anavaa miwani ya mbao.
well done tusikashifiane kidini hakuna alikufa akarudi akatupa majibu mungu ni dini gani, basi tumheshimu pope kwa nadhiri aliyojiwekea, ni kitu cha kawaida kwa kanisa katoliki kuna masisita wao nadiri yao ni kutokufanya mapenzi, wapo wakapuchini wao hutembea peku, so usishangae pope kutokuangalia tv ni zoezi dogo sana
Wewe ndiyo mjinga!,ktk Kanisa Katoliki hili jambo mbona ni la Kawaida!!,Wapo watu ambao huwa wanaamua kuishi maisha ya Upweke kwaajili ya Kujitafakarisha juu ya mambo yanayomhusu Mungu,na hii huwa ni maisha yao yote
Tena wapo walio wahi kukaa mapangoni kwaajili ya kujitenga na Malimwengu ili wasiingie ktk vishawishi vya kutenda dhambi watu hao waliitwa WAEREMITE,huko walisoma neno la Mungu,Tafakari na Sala tu!
Nenda Songea kule kuna Watawa wanaitwa WAKILALA,hao ndio hukaa ndani tu pasipo kutoka nje huko hufanya SALA na Kutafakari neno la Mungu,wao si watu wa kuchangamana na malimwengu,Hata ndugu ukienda kumtembelea mnaonana naye dirishani tu!
Hawa hutoka nje mara mojamoja tu!,Wanafanya hivi kwaajili ya kujinyima Starehe na Anasa za dunia.
Ni papa wa majini au nchi kavu