Maisha ya Norway yapoje?

Maisha ya Norway yapoje?

Ngunya1

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2017
Posts
730
Reaction score
1,196
Nipo jamaa mmoja hapa ananipa story za Norway ameniambia ukiwa mfungwa tu wa gerezani hautamani tamani kurudi bongo ukweli sijaamini hata kidogo mwenye kujua kuhusu hii kitu please.
 
Norway ni moja ya nchi bora kabisa duniani! Achana na masuala ya GDP; majiji na maviwanda makubwa, mavyuo yenye sifa n.k lakini linapokuja suala la maisha kwa majority; hata Marekani inasubiri!

Kinyume na US, Norway inabebwa sana na population ndogo huku ikiwa na utajiri mkubwa wa asili kv gas bila kusahau man-made wealth!

Norway ni Qatar ya Ulaya!
 
Norway ni moja ya nchi bora kabisa duniani! Achana na masuala ya GDP; majiji na maviwanda makubwa, mavyuo yenye sifa n.k lakini linapokuja suala la maisha kwa majority; hata Marekani inasubiri!

Kinyume na US, Norway inabebwa sana na population ndogo huku ikiwa na utajiri mkubwa wa asili kv gas bila kusahau man-made wealth!

Norway ni Qatar ya Ulaya!
endelea kushusha nondo
 
Norway ni moja ya nchi bora kabisa duniani! Achana na masuala ya GDP; majiji na maviwanda makubwa, mavyuo yenye sifa n.k lakini linapokuja suala la maisha kwa majority; hata Marekani inasubiri!

Kinyume na US, Norway inabebwa sana na population ndogo huku ikiwa na utajiri mkubwa wa asili kv gas bila kusahau man-made wealth!

Norway ni Qatar ya Ulaya!
Marekani haisubiri Norway hata siku moja. Wamarekani ukiwafanya waishi kama Norway watakuua kesho yake.
Nasema hivi nikiwa muumini mkubwa wa Socialism, But US citizens never aspired to live like Europeans, they hate it!
 
Marekani haisubiri Norway hata siku moja. Wamarekani ukiwafanya waishi kama Norway watakuua kesho yake.
Nasema hivi nikiwa muumini mkubwa wa Socialism, But US citizens never aspired to live like Europeans, they hate it!
Sina haja ya kubishana manake hamkawagi kutoa mifano ya akina Mayweather wakati mimi nazungumzia ustawi wa watu at large!
 
Hizo Scandinavian countries ziko mbali sana mkuu.
.
.
.
Ninatamani ningekuwa nafanya kazi huko. Hakuna rushwa, wananchi wanashiriki kwenye maamuzi ya taasisi zote, vitu vinafanyika kwa uwazi, wanajivunia kupanua huduma za/kwa jamii (serikali haifanyi kama vile ni hisani kuwa na elimu bure kwa mfano).

Ila naamini siku moja Tanzania itafika hapa. Hata kama sitaiona mimi, mwanangu ataiishi. Ndiyo maana siondoki bongo.
 
Kweli kabisaa mkuu...ww nenda kaibe ufungwe ujionee...

Marekani wanajifunza kwa Norway jinsi ya kuendesha magereza yao. Kumekuwa na a big shift ya uendeshaji baada ya kuona mafanikio wanayoyapata wao kulinganisha na marekani. Tena gharama wanayotumia ni nusu ya gharama anayotumia Marekani kwa mfano kuendesha magereza yake (na bado hapati mafanikio).

Faida ni, ukitoka hapo hutofanya kosa tena (yaani rate of recidivism is close to zero).
 
Sina haja ya kubishana manake hamkawagi kutoa mifano ya akina Mayweather wakati mimi nazungumzia ustawi wa watu at large!
Huna haja ya kubisha kwa sababu kuna kitu kinaitwa pursuit of happiness/success.
It's unlimited in US, but it's capped in Socialist Europe and that's a problem. But generally speaking wananchi wengi dunia hii watapenda kuishi Norway. Ila wananchi wa nchi kama US au Saudi au wakimbizi wengi wa dunia hii hupenda sana US au England, not Norway au Sweden ingawa ni rahisi zaidi.
 
Hizo Scandinavian countries ziko mbali sana mkuu.
.
.
.
Ninatamani ningekuwa nafanya kazi huko. Hakuna rushwa, wananchi wanashiriki kwenye maamuzi ya taasisi zote, vitu vinafanyika kwa uwazi, wanajivunia kupanua huduma za/kwa jamii (serikali haifanyi kama vile ni hisani kuwa na elimu bure kwa mfano).

Ila naamini siku moja Tanzania itafika hapa. Hata kama sitaiona mimi, mwanangu ataiishi. Ndiyo maana siondoki bongo.
kweli bongo itafikia huko wakati kizazi chetu hiki kimepita,.ila nchi za Scandinavia zimepiga hatua karibia kila nyanja,.hata mwanafunzi wa kule ana uhakika wa kusoma na uhakika wa kuishi maisha bora mara tuu baadae ya kumaliza masomo yake,.
 
Marekani haisubiri Norway hata siku moja. Wamarekani ukiwafanya waishi kama Norway watakuua kesho yake.
Nasema hivi nikiwa muumini mkubwa wa Socialism, But US citizens never aspired to live like Europeans, they hate it!

Nadhani hoja inayoongelewa hapa ni PRISON SYSTEMS.

Kwa hoja hiyo Marekani inasubiri sana kwa NORWAY. Wanatamani nchi yao ibadilishe mfumo wa uendeshaji wa magereza yao hata leo. Tatizo kubwa ni MTU PEKEE ANAYEKUBALI MABADILIKO KIRAHISI NI MTOTO MCHAFU. Hata pale ambapo tunajua tumekosea, binadamu ni hulka yetu kuyapinga mabadiliko, kwa kuhofia the uncertain. Hapo pamoja na wale wanaonufaika na the existing system wakiweka nguvu zao basi inaonekana mabadiliko hayana manufaa au hayatawezakana.

Mkuu, katika suala ambalo kwa Wamarekani wa vyama vyote wakikaa wanaweza kuongea na kukubaliana, basi ni suala la kubadilisha mfumo wa uendeshaji wa maegereza yao. Nimeona documentary nyingi wakijaribu kuimplement kidogo kidogo (kwa kuiga hao Wanorway). mfano mzuri ni gereza notorious la Pennsylvania. Pia pitia link ninayokuambatanishia hapa uone jinsi gani wanayatamani hayo mabadiliko hata kesho.

Link: 60 Minutes Presents: Behind Bars
 
Nadhani hoja inayoongelewa hapa ni PRISON SYSTEMS.

Kwa hoja hiyo Marekani inasubiri sana kwa NORWAY. Wanatamani nchi yao ibadilishe mfumo wa uendeshaji wa magereza yao hata leo. Tatizo kubwa ni MTU PEKEE ANAYEKUBALI MABADILIKO KIRAHISI NI MTOTO MCHAFU. Hata pale ambapo tunajua tumekosea, binadamu ni hulka yetu kuyapinga mabadiliko, kwa kuhofia the uncertain. Hapo pamoja na wale wanaonufaika na the existing system wakiweka nguvu zao basi inaonekana mabadiliko hayana manufaa au hayatawezakana.

Mkuu, katika suala ambalo kwa Wamarekani wa vyama vyote wakikaa wanaweza kuongea na kukubaliana, basi ni suala la kubadilisha mfumo wa uendeshaji wa maegereza yao. Nimeona documentary nyingi wakijaribu kuimplement kidogo kidogo (kwa kuiga hao Wanorway). mfano mzuri ni gereza notorious la Pennsylvania. Pia pitia link ninayokuambatanishia hapa uone jinsi gani wanayatamani hayo mabadiliko hata kesho.

Link: 60 Minutes Presents: Behind Bars
Kwa hili nakubaliana nalo.
Ila kusema Norway ni Qatar ya ulaya ... well, who wants to live in Qatar? Tutofautishe wasomali na mahousegirl na watu wanaotafuta competitive wages in competitive jobs.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Huna haja ya kubisha kwa sababu kuna kitu kinaitwa pursuit of happiness/success.
It's unlimited in US, but it's capped in Socialist Europe and that's a problem. But generally speaking wananchi wengi dunia hii watapenda kuishi Norway. Ila wananchi wa nchi kama US au Saudi au wakimbizi wengi wa dunia hii hupenda sana US au England, not Norway au Sweden ingawa ni rahisi zaidi.


Sijapata flow ya discussion yako.

Ni Mmarekani gani umemuuliza akasema hatamani kuishi Norway kwa mfano? au ni research gani imefanywa ikakupa conclusion hiyo? Ningependa kuisoma nisiwe mbishaji tu.
 
Huna haja ya kubisha kwa sababu kuna kitu kinaitwa pursuit of happiness/success.
It's unlimited in US, but it's capped in Socialist Europe and that's a problem. But generally speaking wananchi wengi dunia hii watapenda kuishi Norway. Ila wananchi wa nchi kama US au Saudi au wakimbizi wengi wa dunia hii hupenda sana US au England, not Norway au Sweden ingawa ni rahisi zaidi.
Nadhani tunatofautiana nini hasa kila mmoja analenga!

HUENDA watu wengi duniani wanapenda kuishi US kuliko Norway kutokana na umaarufu mkubwa wa US!

Bila shaka wengi wanatamani kufika Los Angeles au New York bila kuisahau DC kuliko wanavyoitamani Oslo au Bergen!

Hata hivyo, ninachosema mimi sio watu kupenda bali nazungumzia general welfare kati ya US na Norway!!

Man, Norway ipo juu! Na kama nilivyosema, Norway inabebwa sana na idadi ndogo ya watu huku wakiwa na utajiri mkubwa!!

Kinachoisumbua US ni kama China!

Pamoja na utajiri mkubwa wa US, lakini ku-manage a welfare of more than 300M si kazi ndogo!! Miongoni mwao lazima utakuwa na malaki ya makapi wenye umaskini mkubwa; jambo ambalo ni very minimal kwa nchi kama Norway!

Same to China!! Pamoja na kwamba wanakuja sana kasi lakini China kufikia US welfare labda miaka 30 ijayo manake na wenyewe ku-manage a welfare of more than 1B population, sio jambo la kitoto!
 
Sijapata flow ya discussion yako.

Ni Mmarekani gani umemuuliza akasema hatamani kuishi Norway kwa mfano? au ni research gani imefanywa ikakupa conclusion hiyo? Ningependa kuisoma nisiwe mbishaji tu.
Flow ya discussion yangu ni simple.
Uli-quote jibu langu kwa mmoja wa wachangiaji. Ulipojibu ukajaribu kunieleza mleta mada anaongelea nini. Nikakubaliana na wewe huku nikisisitiza kwanini nilijibu kama ulivyoni-quote.
Kuhusu ni Mmarekani gani nilimuuliza. Sasa mjomba nikitaja jina la Duwane Hickmon utabisha? I can just come up with any name.
Kuhusu statistics, angalia tu composition ya Us citizens (non-military) in Norway(2014) ilikuwa arround 8,600 ["Innvandrere og norskfødte med innvandrerforeldre". Statistics Norway (in Norwegian)].
Pamoja na kwamba US citizens wakitaka kuhamia Norway, they can easily do it. But they chose not to.
If that doesn't mean anything let me know nitakupa stats nyingine.
 
Back
Top Bottom