Maisha ya mahali kilipo Chuo cha Marian yapoje?

Maisha ya mahali kilipo Chuo cha Marian yapoje?

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,189
Anayejua anipe taarifa maana kuna dogo kachaguliwa hapo, na vip kuhusu upatikanaji wa nyumba za kupanga ukoje?

Karibuni wadau
 
Me ni mhitimu pale
Vyumba na hostel vinapatikana kwa urahisi sana na kwa bei nafuu
Vip kuhusu upatikanaji wa nyumba za kupanga mkuu znapatkana kwa bei gani!?? maana nategemea kuja na wife huko so hostel za chuo haznihusu mkuu wangu
 
Kipo karibu na Bahari, jioni utaenda kula upepo mwanana na madafu .
 
Kipo karibu na Bahari, jioni utaenda kula upepo mwanana na madafu .
Nimekupata mkuu!! vip kuhusu nyumba za kupanga znapatikana kwa kuanzia gharama gan kwa mwezi??
 
Nimekupata mkuu!! vip kuhusu nyumba za kupanga znapatikana kwa kuanzia gharama gan kwa mwezi??
Chumba 30k unapata kizuri kabisa. Ukitaka cha kibabe self 50k per month.
 
Anayejua anipe taarifa maana kuna dogo kachaguliwa hapo, na vip kuhusu upatikanaji wa nyumba za kupanga ukoje?

Karibuni wadau
Vip kuhusu upatikanaji wa nyumba za kupanga mkuu znapatkana kwa bei gani!?? maana nategemea kuja na wife huko so hostel za chuo haznihusu mkuu wangu
Kwa mujibu wa hizo quotes mbili, ..
Wewe ndiye dogo aliyechaguliwa? Au wife ndiye dogo aliyechaguliwa?
 
Vip kuhusu upatikanaji wa nyumba za kupanga mkuu znapatkana kwa bei gani!?? maana nategemea kuja na wife huko so hostel za chuo haznihusu mkuu wangu
Mara dogo kachaguliwa,mara tena unakuja na wife..which is which sir?
 
Dogo anataka kuja na mke wake!! samahan kwa kuwachanganya jamani!
 
Dogo anataka kuja na mke wake!! samahan kwa kuwachanganya jamani!
Mtu mpaka ana mke..anashindwaje kutafuta mwenyewe taarifa za chuo chake mpaka wewe uje umsaidie?
 
Back
Top Bottom