SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,068
Kwa Bi Nyau more civilized than kwa.mtogole,yaani kwa Mtogole inasubiri sana,uswahilini kunaishia aidha Chama au kwa Tumbo,kwa bi Nyau hadi Moroko hotel kupo vizur,ukumbuke hata Iddi azan ndo yupo maeneo hayo,na maeneo yale kuanzia Popobawa kwenda Moroko hotel ni MAGOMENIMwambie kwamtogole mpaka kwa binyau hata ndoa nyingi ni kushea tu hata yeye wanaweza kumshea asipoangalia