Maisha ya kufake ni expensive. Achana nayo

Maisha ya kufake ni expensive. Achana nayo

muneera75

Senior Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
190
Reaction score
318
Hi

As thread said maisha ambayo fake life is so expensive kama kuna mtu anayaishi aachane nayo. Mpaka nimekuja kusema hiki kitu it means nina experience kwamba nishamuona mtu ana struggle kuishi yale maisha ya masupa staa na rich kid (wakishua) akati maisha ake ni ya kawaida sio mabaya sana anakula vizuri kwao analala pazuri ila kuna ile hali ambayo anapenda watu wamuone mtoto wa kishua🤣

Siwezi mtaja but i know herfor a long time huyo mdada (neighbour) since tupo secondary . Kwa mfano anaweza anaweza akadanga ili apate simu kama ya msanii fulani mara ya mwisho nikimuona na iphone 10 (x) baadae nikasikia kanunua kuna kikava fulani hivi kariakoo wanauza 20k kabandika nyuma ya ile iphone x ili ile simu ionekane iphone 11 (macho matatu). Kwahiyo she is trying to prove watu kwamba kuna ile life anaishi ya watoto wa kishua

Mimi binafsi nikipata chance ya kukaa naye close ntajaribu kumwambia but now sijapata mda and kuna mda ninaogopa kumwambia coz she is so talkative (wale wachambaji anaweza akakuchamba na akakujazia watu)

My advice kwa yoyote ambaye ana ndugu jamaa au rafiki anaishi maisha sio yake basi jaribu kumpa ushauri.

Wewe uliwahi kukutana na mtu anae fake life kwa namna gani?
 
Samahani muneera75, vipi hiyo picha ya kwenye avatar ni ya kwako!! Napenda wanawake weupe mimi!! Sijui ni kwa nini!! Mbaya zaidi sitokei usukumani eti!!

Katika hili, nimeshindwa kabisa kufake!!
 
Live and let live.....Unapata wapi muda wa kufuatilia maisha ya watu hivyo?



Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Mnaonekana bado watoto watoto
Mda ukifika mtaacha
 
Kufake kuna faida yake

Pindi npo advance nasoma nilivyorudi likizo nilifake bonge moja la tukio na wahuni wangu kuonekana wa kishua ili nimtafune Dada mmoja matawi ya juu mtangazaji wa radio local hapa mkoani kwetu

Na nikamtafuna kweli
 
Inategemea unafake mazingira gani, kuna mda unafake hili upate kitu fulani baada ya hapo unaacha sasa hawa ambao mda wote wanafake hali ya kuwa kwao pangu pakavu ndio wana shida
 
Msanii aliyekosa kazi lazima tu atatafuta role play, amekosa muongozo ningemuonyesha kipaji chake na angetengeza pesa. Wako wengi mtaani wanaishi maisha ya kuigiza na wanaenjoy tatizo hawatengezi kipato kupitia vipaji vyao.
 
Kwa hiyo unataka kusema Tundu Lissu naye anafake maisha?
ana maanisha jiwe ana feki hajui kiingereza ili aendelee kutokea kwenye fend fodi (kama asemavyo yeye)
 
Back
Top Bottom