Dogo hiyo EXILE walikuwa wanataka ukakae dinning UKASOME ufaulu, Kwahiyo jamaa walikuwa wana nia nzuri na wewe!
hahaaaa mabibo hostel sitaweza kuisahau mimi
bros and sists,
hope mko poa kbs,
naomba leo tujikumbushe siku za mwanzo vyuoni hasa hostel, mimi nilijiunga na chuo cha udsm nikitokea mmamndenyi na ucha mungu wangu na kupangwa pale mabibo hostel block d gorofa ya 2. Nilifurahi sana kujiunga na masomo ya elimu ya juu na kubahatika kukutana na cream ya nchi nzima, nilikuwa na shauku kubwa ya kujua roommates wangu na kutenegeneza marafiki wapya.
Hali haikuwa kama nilivyotarajia hasa kwenye chumba changu, nilipangwa na watoto wa mujini waliokuwa wanazijua starehe na anasa za dunia. Mimi nilikuwa na poketi money yangu elfu kumi navaa soksi naingiza ndani nafunga raba bendi juu ili isiibwe kwani boom lilikuwa halijatoka na hata bank a/c nilikuwa sina. Wenzetu walikuwa wanafweza hadi kukodi tax kwenda main campus. Nilipangwa kitanda cha juu kwa vile vya chini vilikuwa vimewahiwa tayari. Nili report siku ya ijumaa nikiwa na uchovu wa kutoka milimani kwetu nikawahi kulala. Ilipofika saa 7 nilisikia miguno kwa chini nikahisi mwenzangu mgonjwa, ila iliambatana na vicheko kucheki vizuri mwenzangu alikuwa ana jimama likubwa liko juu yake(........)
ikawa ndio mchezo kila siku sasa mimi nilikuwa hata gal friend sina. Nikirudi mchana rum kupunzika nakuta mwingine amerudi na mwanamke na wamenifungia nje tena/exile. Nikavumilia kama mwezi nikashindwa nikakusanya kilicho changu nikaenda kulala chini kwa washikaji main campus at least huko nilipumua sito sahau mabibo hostel .......
Ni mimi tu au na nyie mlinyanyaswa au kunyanyasa wenzenu?
hahahaha,mabibo hostel rrrrrraaaaaa!!! Nayatamani sana yale maisha japo kwa mwezi mmoja 2
shukuru mungu walikupiga exile tena hao ni waungwana
mi hiyo niliizoe mbaya zaidi ilionishtua nilikuwa nikiingia na
gfriend wangu aisee nasikia kama panya wanapita kwenye dari kuangali juu naona
mbona no concrete..hao panya wanapitia wapi siku ya siku shemjiyo aakaja
akaomba game kama nilivyo kuwa na upendo mtoto wa mkulima sina uchoyo nikampa
gafla nikasikia dumu la uchafu nje linasogezwa nikahisi wanakusanya uchafu nikiwa natoka kumalizia nikasikia pwaaaaaaaaaaaaaaaa
nikahisi tumevamiwa kuangalia juu ya mlango naona vijimacho zaidi ya nane nkahisi movie ama , kuna vile vinyavu watu wamechana aisee wanacchungulia kma awana akili nzuri kumbe wakati limepiga kelele walikuwa wanashindaana kupanda juu ya kifuniko..toka siku hiyo nikanunua kanga nikipiga game naweka na vimizumari vidogo vidogo akiamungu mwenzangu mmoja nae akaleta mzigo natoka klass nikkakuta watu wamepanda juu ya dumu la uchafu...nkasema loh leo zamu yangu kupanda nkakuta khanga yangu imechanwa katikati wanachofanya wanaitanua
jamani ""deo""" huyu alitutesa yaani ukiingia tu mwanamke wanakula deo mpaka unaondoka .......na wengine inasemekana walikuwa wanamlizia kwenye ukuta wakati wamesimaa pole sana bra..ila wenzio walituvua nguo live..bahati awakutugusa
mabibo ndio akufai kabisa uko loh
hii mabibo ukipangiwa kule ukiingia chumba chochote unaitaji kukitakasa kwa kweli yanayofanyika kila siku ni balaa za dunia...kuna kaumbea kamlitokea aliekuwa mtangazaji mmoja na sasa ameolewa ana mtoto..kadada kalikuwa kana jisikia sana kakaingia 18 ya braza men mmoja yule jamaa nae akawa amemmaindi kumtesa kuipata suna si akaweka jamaa watatu chini ya kitanda..sitosahau tuko manzese tunakula wenye kujua manzese mnaelewa chakula chao kilivobomba watu wakatumiwa msg "karibu kupiga chabo saa 0500pm ukiwa mtu wa karibu unakaribishwa popote pale ulipo..loh sitoshau watu wakakodisha kahiace mpaka mabibo from hall 4 kupiga Deo ..dada wlimchakachua mpaka basi amemalizwa huku anatoka mtu chini mdomo akafungwa watu wakamliza huku nje kwenye koridor wamepandana kwenye madumu ya uchafu hatari..ila tisa kumi mzungu akaishia kuoa na sasa ana mtoto wake...kila la kheri mama
Hivi wewe ulipigwa exile kwa version ipi? maana kuna ya wao kuendelea humo kwa humo, kuna ile wanakuomba utoke kabisa, ingine wanashusha godoro wanaendela hapo chini, unakosa hata sehem ya kuweka mguu utoke...nyingine!!
Wewe utakuwa ulikaa block F maana ina sound mlikuwa wawili tu.Mimi nilipiga marufuku kitu kama hicho na nilikuwa najifua sana - yaani nakula zoezi tayari kwa karate na kushinda katika hilo game kama lingetokea. Nilimwambia mate wangu kuwa siku akijaribu kuleta demu na kukuta kafunga malango - exile au mimi nipo na yeye kuniletea maudhi kwanza naanza kumtandika huyo mwanamke wake halafu akitaka kujifanya mjuaji na yeye anapata kichapo pia.
Inakuwaje mwanaume mzima unanyanyaswa? Basi nyie mtakuwa mananyanyasika hata maofisini, majumbani kwenu mpaka leo. Ili linaweza kuwa limechangiwa na kusitishwa kwa national service (JKT) - yaani kuwa mwoga.
Wewe utakuwa ulikaa block F maana ina sound mlikuwa wawili tu.
Hivi na wadada walikuwa wanapigana eksaili pia?
Hahahahahaha! Wasomo hao tunaotegemea waje kuilimisha jamii ya Kitanzania!!!! Tunasafari ndefu sana kwa kweli.
Mimi nilikuwa natamani nilie kabisamsinikumbushe mimi unatoka chuo umechoka kufika room exile duuuu mi nilikuwa nachukia saana aisee!
mi sikuwahi kuruhusu huu upuuzi aisee! Nadhani pia kupangiwa chumba ba stranger ilichangia aina hii ya maisha. Mimi nilikuwa radhi ku swap rum mate kwa gharama yoyote ili tu nikae na mtu ambaye tunaendana kitabia.
Vinginevyo maisha yalikuwa na karaha sana aisee. Watu kibao walikuwa wanakimbia room zao wanaenda ''Kubebwa'' na washkaji zao.