Ukifika chuo ishi Maisha yako hata Kama watu watakuonaje we ishi Maisha yako tu
Hilo boom unabidi ulitumie vizuri ili ukitoka chuo utoke na mtaji.
Mwaka 1 wa chuo unabidi uwe na gheto na kila kitu Kama kijana anayejitambua
Godoro
Kitanda
Sabufa
Tv
Feni
Gas n.k
Mwaka wa pili save pesa upate hata laki tano ya mtaji .
Ajira hamna sasa hivi hivyo unabidi kujitenga na starehe za kipumbavu ukiwa chuo hasa nyie mnaotoka vijijini na kuja katika miji mikubwa mnakuaga wapumbavu Sana so take care
The struggle is real