Maisha ya chuo bila mke!


hongera safi mkuu kama ulivuka mapito haya nimependa san busara zako be blessed and keep on advicing others who seeks or ask you for advice
 
Mtu hata kazi huna,tayari umeanza kuwaza masuala ya mke wa kuoa!
 
Mtu hata kazi huna,tayari umeanza kuwaza masuala ya mke wa kuoa!


hakuna asiye na kaz duniani ila inategemea kaz ipi so co kwmb cna kazi navimirad vyang vidogovidogo nimeweka watu wanacmamia sas kama ndo hvyo umeamua kiviita co kaz sawa ila ndo individual difference maadam vina nipa kula na kuvaa
 
Yesu akurehemu..uzinzi ni dhambi mkuu pia mke mwema hatoki JF. Mke mwema hutoka kwa Bwana so muombe Mungu akupe dira na muongozo umpate mke mwema na sio kukurupuka kwani ndoa si sawa na bongo fuleva

Yap. Kula LIKE
 
We fanya maskhara tu...utaishia kuwaolea wenzako...

Nimekupata nashukuru san nimependa ushaur ngoja niwapotezee mpaka ninunue hummer ndo nianze kufikiria kuoa kabla cjanunua gari kali zaid
 
We fanya maskhara tu...utaishia kuwaolea wenzako...


I real respect and value ur advice ngoja nitulie mpaka roho bwana atakaposema na mim kama mnavyo shaur wakuu
 
Chuo hakuna mwanamke wa kuoa. Hao ni kugegeda tu. Rudi kijijini kwenu utafutiwe binti wa kuoa.


Ila kama unataka sekrepa chukua.
 
Badala ya kusoma unawaza uzinzi tu ...................na ungalie ndio mnaishia kupata magonjwa badala ya elimu
 
Maisha yachuo ukiwa mdhaifu utatoka kapa no elimu,kwaiyo ukiwa chuo masomo kwanza mapenzi badae,,soma kwanza alafu mke badae mjomba mbona warembo kilasiku wana zaliwa?,!!!jikaze

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

Labda kaona aanzie jikoni wanakopikwa, lakini waswahili wanasema ukimchunguza sana bata hutokula yake.
 
Chuo hakuna mwanamke wa kuoa. Hao ni kugegeda tu. Rudi kijijini kwenu utafutiwe binti wa kuoa.


Ila kama unataka sekrepa chukua.


duuh nahic we wakugegeda san fresh lkn
 
Maisha yachuo ukiwa mdhaifu utatoka kapa no elimu,kwaiyo ukiwa chuo masomo kwanza mapenzi badae,,soma kwanza alafu mke badae mjomba mbona warembo kilasiku wana zaliwa?,!!!jikaze

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums


umenena ila mi nko nondo mbaya sana japo kimadesamadesa kiusawa wa elimu yetu
 
Badala ya kusoma unawaza uzinzi tu ...................na ungalie ndio mnaishia kupata magonjwa badala ya elimu

co kuwaza uzinz leo lilikuwa kupata mke so nlipoona hapatkani nkachange mind kupunguza mihemko
 
Unawasilisha nini sasa kama mambo yote unayajua msomi wewe kuwa specific na unachokiongea nini?
 
Dogo piga UE acha uhuni mbona wengi 2memaliza bila kuwa na wachumba wa kuoa baada ya kumaliza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…