Maisha ya chuo bila mke!

Maisha ya chuo bila mke!

CALMAN

Senior Member
Joined
May 23, 2013
Posts
190
Reaction score
56
Hi wana jf! Katika moja ya vitu ambavyo cjawahi kufikiri ni kuishi kweny jamii wa wanawake wengi kama Udsm halafu utoke bila kupata mke wa kuish nae sas yamenikuta mana ndo namaliza na npo kweny mitihan ila nimejitahidi kuhakikisha na mpata m/ke wa kuishi nae ila kila ninaye mpata naona hanifai mara baada ya kubaini hata tabia mbovu moja tu sasa cjui nachagua sana na kudadisi kwing so nimeona nirudi jf nipeni ushauri nicje kuwa nachagua sana pia bint ambaye hajaolewa mwny sifa za wife material aniPM tu au akihitaji namba ntamtumia!. Nawaclisha
 
chuo ni kusoma sii mapenzi!!!


Aaaah! na secondary je? c ndo mana its like industry shughuli nyngne zote huendelea ratba yako tu akitaka kuoa au kuolewa ruksa sas ushari gan unanipa tena
 
Yesu akurehemu..uzinzi ni dhambi mkuu pia mke mwema hatoki JF. Mke mwema hutoka kwa Bwana so muombe Mungu akupe dira na muongozo umpate mke mwema na sio kukurupuka kwani ndoa si sawa na bongo fuleva
 
We una hizo sifa? Jiangalie ujipime kwanza kisha ka vip fumba macho jilipue!
 
Yesu akurehemu..uzinzi ni dhambi mkuu pia mke mwema hatoki JF. Mke mwema hutoka kwa Bwana so muombe Mungu akupe dira na muongozo umpate mke mwema na sio kukurupuka kwani ndoa si sawa na bongo fuleva


thanx a lot kwa ushauri mzuri niombee nawe pia!
 
We una hizo sifa? Jiangalie ujipime kwanza kisha ka vip fumba macho jilipue!


ndo unipe ushari why qn? mi sifa hizo ni nazo mbona ni ndogo sana sema w/ke wa kisasa hawa wanataka kuona una ndege wakat hata gar huna
 
Okay nimekupata...
Have you secured any job somewhere or do you have any source of income?
Kama una mpango wa kuoa mwaka mmoja baadae inabidi kwanza ujiandae wewe binafsi...
Maana nionacho hapa unatafuta mke ambaye naye ni mwanafunzi mwenzako..
Sasa sijui mtaishi kwa kutumia PETROL!!!
Maisha ya ndoa si marahisi kama unavyofikiri, ninahisi hiyo nia uliyonayo sasa ni tamaa tu...

mwaka moja baadae
 
nipe advice basi nilikuwa napata wa kugegeda tu!

walikushtukia kuwa ww nikito*bi.ndo maana wakawa wanakupotezea mda.umechelewa kumeshakucha ndo unajifunika shuka.pole jipange upya.
 
hivi sasa maadili yameshuka na ndio sababu ni kawaida hivi sasa kuhitimu masomo bila kupata mtu sahihi wa kuishi naye.
 
Back
Top Bottom