C chobocho Member Joined Jul 11, 2015 Posts 31 Reaction score 14 Jan 18, 2022 #1 Naomba mwenye uzoefu au aliyewahi kutumia Television za Maisha, ubora na upungufu wake anifahamishe nijue. Asanteni, nawasilisha.
Naomba mwenye uzoefu au aliyewahi kutumia Television za Maisha, ubora na upungufu wake anifahamishe nijue. Asanteni, nawasilisha.
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,515 Jan 18, 2022 #2 Broo ukiamua kununua we fumba macho nunua. lakini najua kwamba unajua Tv ni LG, samsung, Tcl, Hisence na wenzie
Broo ukiamua kununua we fumba macho nunua. lakini najua kwamba unajua Tv ni LG, samsung, Tcl, Hisence na wenzie