"mdundo ngoma sana, post: 18114390, member: 346990"]Ukiahidiwa pesa inawezekana mjomba na wamelala.mi nilisha lala kwenye maji[/QUOTE]
Ulilala kwenye maji kwa sababu na sababu unaweza kuwa ni hofu sawa hao wameaidiwa pesa lakini kwa hilo tendo lazima mtu angeshindwa ni zoezi gumu sana hilo ikiwa unakumbuka maisha plus season one ilitolewa zoezi tena likiambata na Zawadi zoezi ilikuwa wakae masaa kama sijasahau masaa 48 bila kusinzia vijana wengi walishindwa aliwezaga mmoja tu na hao walikuwa chin si juu ya mti