Maisha ni safari

Boloyoung

JF-Expert Member
Aug 24, 2015
682
652
Lori lipo safarini

e7cc29838d47f2ec34027a5cc4afa6b2.jpg
 
Mkuu una number yake huyu?
Yes namba yake ninayo, ila shida ni kuwa simu yangu nimeisahau kwake maana niliondoka alfajiri sana na sikulipia huduma kwa hiyo amechukua simu yangu mpaka nitakapo enda kulipa, kwahiyo nitakutumia namba yangu ya backup unitumie tigo pesa laki mbili nikalipie ili nipate simu yangu nikupe namba yake. SAWA NDUGU?
 
Yes namba yake ninayo, ila shida ni kuwa simu yangu nimeisahau kwake maana niliondoka alfajiri sana na sikulipia huduma kwa hiyo amechukua simu yangu mpaka nitakapo enda kulipa, kwahiyo nitakutumia namba yangu ya backup unitumie tigo pesa laki mbili nikalipie ili nipate simu yangu nikupe namba yake. SAWA NDUGU?
Duh!
 
Back
Top Bottom