Maisha ni magumu kweli?

Maisha ni magumu kweli?

Mkuu "sisi" ambao vyuma havijakaza huwa hatupendi tabu.Nikiweka "h" kwenye oyeeee wakati wa kutamka nitachubuka koo.Kuandika oyeeee...inatosha!
Sio kwamba nimekurekebisha ila Sikh hizi wameimodify wanasema ccm oyee! Halafu anamalizia hoye yenyewe hoyeee!?
 
Vyuma kukaza ni msemo uliobuniwa na chadema ili kuwahadaa vilaza.

Lkn awamu ya tano hela njenje
Mimi sio chadema kabisa,ila ulichoongea hapa ni uongo kabisa..sijui mnapata faida gani kusifia hadi yasiyo sifika
 
Back
Top Bottom